Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,011
- 31,798
Sawa nakuja kuangaliaNdio kwanza tumeanza na vyerehani vitano tu
Sawa nakuja kuangaliaNdio kwanza tumeanza na vyerehani vitano tu
Kweli amekuwa wa zenjiSiku hizi analewa urojo
Karibu sanaSawa nakuja kuangalia
Zenji sio mchezoKweli amekuwa wa zenji
Uzinduzi tayari au bado?Karibu sana
Tutampoteza mda si mrefu maana nasikia tabia zao zinafanana na tangaZenji sio mchezo
Namsubiri mkubwa aje azindue iwe officialUzinduzi tayari au bado?
Tumpoteze mara ngapi?Tutampoteza mda si mrefu maana nasikia tabia zao zinafanana na tanga
Sawa nitakuja kuzindua ila Fanya baadhi ya mambo yawe sawa [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]Namsubiri mkubwa aje azindue iwe official
Pole yakeTumpoteze mara ngapi?
[emoji134] [emoji134] [emoji134]Ndio ila ndo narudi kwetu
[emoji120] [emoji120] [emoji7]Michi yuu weye..
Nakutamanishaje bibie, pesa makaratasi, pesa yake matumizi bibie, tena nakuongezea na katoni 10 za heineken uweke kwenye friji uwe unajipozea roho taratibu.Hahhahah maka bwana ebu acha kunitamanisha mie
Kinachofata kitakuwa 9 pipozi.Kimoja 5peoples kingine 7 people's
Mzee mwenzangu mbona simuoni shemeji.?[emoji120] [emoji120] [emoji7]
Waduwanzi hawa.Tafasiri Unavyoweza: Serikali, Ajira Bila Maandamano
Mapema wiki hii kumemalizika makubaliano makubwa kabisa ya kibiashara ndani ya Afrika (intra-trade agreement). Nchi 44 zimesaini makubaliano haya ikiwemo nchi yetu. Hili ni jambo zuri na sihofii kwamba mwakilishi wetu alisaini akiwa na maslahi nje ya Tanzania na wananchi wake. Makubaliano haya yana maana gani kwa uchumi na siasa ya Tanzania!? Hili ni suala la mtizamo na kwa upande wangu naiona fursa ya ajira zaidi ikiwa siasa itachukua nafasi pana ya kutoa nafasi isyobadilikabadilia (policy consistency) sio kila awamu inakuja na jambo lake, msingi hujengwa kwa mawe, haihitaji shahada kulijua hili. Tafasiri unavyoweza.
Tanzania, ukiondoa nchi za Nigeria, Misri, na SA tuna idadi kubwa sana ya watu na wengi katika jumla hii ni vijana. Kutokana na kutokuwepo kwa misingi rafiki ya ajira kwa vijana, idadi kubwa ya vijana wa Kitanzania inakabiliwa na ukosefu wa ajira. Zama zile za serikali na taasisi zake kuwa mwajiri mkuu zimepita, ilikuwa ni kawaida miaka ya 70s na 80s kijana kumaliza chuo kuajiriwa lakini kwa sasa, vijana wengi wanamaliza vyuo na ajira zinakuwa ni ngumu kupatikana na hata kujiajiri bado kuko kwenye midomo na makaratasi tu sio kwenye uhalisia. Tafasiri unavyoweza.
Mwili na akili isiyotumika hupatwa na vishawishi hasi (idle body/mind is the devil's workshop) na hili ni la kuangaliwa kwa umakini mkubwa, ajira ni muhimu, ni sifa ya kila mwenye uwezo. Kijana ajira inakujengea kujiamini, inakupa nafasi ya kupata hitaji la moyo na mwili (date). Kufanikisha haya, serikali ishirikiane na sekta binafsi kuhakikisha kuwa vijana wengi wanapata ajira na wala mawazo ya kipuuzi, yatakuwepo lakini hayatakuwa na ufuasi mkubwa. Ni jukumu la serikali kuandaa mazingira wezeshi kwa kijana kukabiliana na makubaliano ya biashara huru ndani ya Afrika, sisi tutakuwa na nafasi gani? Tafasiri unavyoweza.
![]()
Suka chile ntakupiga risasi...[emoji23] [emoji23]Muziki: Wiki Kati
Ninakusalimia sana Kapuku mheshimika na leo tayari wiki tumeikata nusu tunajiandaa kuisaka alhamisi ambayo kiukweli iko karibu sana na Ijumaa-Furahiday. Nimekuwa na wakati mzuri sana tangu j3 ianze na ndotoni nilioteshwa kuwa nawe umekuwa na wiki nzuri japo hujataka wengine tufahamu.
Wiki hii nilikuwa na anko wangu Lyon Lee ,alikuwa na tabasamu muda mwingi na nikataka kujua sababu ya yeye kuwa na uso wenye bashasha kwenye zama hizi za umajununi wa TRA, akatulia na kusema yule mke wake ambaye humu hamumjui alikosa fursa ya kuhudhuria mkutano wa wafanyabiashara wenye viwanda nchini. Mkutano uliitishwa na mheshimiwa sana na kwa kuwa mchepuko wa anko ana vyerehani vinne basi alistahiri kuonana na wafanyabiashara wenzake wenye viwanda na hof ya anko ilikuwa akionana na wenye viwanda wenzake basi chances za yeye kupinduliwa zilikuwa kubwa sana. Upepo ulikuwa upande wake, kama tu wenye viwanda vya pipi hawakuitwa itakuwa wenye vyerehani vinne. Hongera sana anko wangu
Muziki sasa, nakukumbuka sana Kapuku na ninakusalimia kwa jina la Tanzania ya viwanda na ukosefu wa ajira
Asante binamuMuziki: Wiki Kati
Ninakusalimia sana Kapuku mheshimika na leo tayari wiki tumeikata nusu tunajiandaa kuisaka alhamisi ambayo kiukweli iko karibu sana na Ijumaa-Furahiday. Nimekuwa na wakati mzuri sana tangu j3 ianze na ndotoni nilioteshwa kuwa nawe umekuwa na wiki nzuri japo hujataka wengine tufahamu.
Wiki hii nilikuwa na anko wangu Lyon Lee ,alikuwa na tabasamu muda mwingi na nikataka kujua sababu ya yeye kuwa na uso wenye bashasha kwenye zama hizi za umajununi wa TRA, akatulia na kusema yule mke wake ambaye humu hamumjui alikosa fursa ya kuhudhuria mkutano wa wafanyabiashara wenye viwanda nchini. Mkutano uliitishwa na mheshimiwa sana na kwa kuwa mchepuko wa anko ana vyerehani vinne basi alistahiri kuonana na wafanyabiashara wenzake wenye viwanda na hof ya anko ilikuwa akionana na wenye viwanda wenzake basi chances za yeye kupinduliwa zilikuwa kubwa sana. Upepo ulikuwa upande wake, kama tu wenye viwanda vya pipi hawakuitwa itakuwa wenye vyerehani vinne. Hongera sana anko wangu
Muziki sasa, nakukumbuka sana Kapuku na ninakusalimia kwa jina la Tanzania ya viwanda na ukosefu wa ajira