Makapuku Forum

Makapuku Forum

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yawezekana kuna mod mmoja umemchunia pm
Hakuna hata pm inayoingia namchuniaje sasa hawataki nifike jukwaa la siasa nikicomment tu kwenye thread lazima nile ban niliwauliza tu kama hamtaki nifike jukwaa la siasa mniambie sitafika nitashinda zangu jukwaa la wakubwa mana mtu anakupa ban vitu havina hata maana nikawaambia naona na huyu mod atakuwa mgeni ameamua kujifunzia ban kwangu kunifatilia kila ninachofanya
 
Kisa na mkasa...
Ya kwanza nilicomment thread za maandamano wakanipa ya siku moja wakaniambia mods hawapendi kusikia habari za maandamano ya pili kuna thread iliwekwa siasani kuhusu jamii forum ya sasa sio kama ya zamani hakuna uhuru wa kuongea nikacomment jf ya sasa inabidi tukae kimya eenh nikapewa ban ya siku mbili eti nazuia watu kutoa michango yao nazuiaje mm
 
Hakuna hata pm inayoingia namchuniaje sasa hawataki nifike jukwaa la siasa nikicomment tu kwenye thread lazima nile ban niliwauliza tu kama hamtaki nifike jukwaa la siasa mniambie sitafika nitashinda zangu jukwaa la wakubwa mana mtu anakupa ban vitu havina hata maana nikawaambia naona na huyu mod atakuwa mgeni ameamua kujifunzia ban kwangu kunifatilia kila ninachofanya
Atakuwa amevutiwa nawe hivyo hataki uende kule
 
Ya kwanza nilicomment thread za maandamano wakanipa ya siku moja wakaniambia mods hawapendi kusikia habari za maandamano ya pili kuna thread iliwekwa siasani kuhusu jamii forum ya sasa sio kama ya zamani hakuna uhuru wa kuongea nikacomment jf ya sasa inabidi tukae kimya eenh nikapewa ban ya siku mbili eti nazuia watu kutoa michango yao nazuiaje mm
Mmmh, nani yuko salama huko?
 
Back
Top Bottom