Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,043
Binamu unaongea na naniBusara imesaidia vingenevyo ungemfanya kitafunio kama yule mwenye vitz red
MZIKI ; sikiliza kitu roho inapenda
Pole sana binamu wangu wa faida kwa yaliyokupata jionii hii lakini ndo raha ya kupata mchepuko chipukizi ...yaani binamu wanngu acha tu awe binamu make kichwa chake ni yeye akili ni za babu yetu kabisa anyway nakusalimia kapuku mwenzangu make uwepo wako hapa ndo kunalifanya jukwaa liwe la aina yake ...asante wote walioshiriki kulijenga taifa kwa njia moja au nyingine na uzur siku hizi taifa hata mitandaoni linajengwa ....ndo tz yetu
Mziki sasa ...kwa niaba ya bimamu Obe nakuletea kitu hiki na ni chaguo langu make yaliyoimbwa yamemtokea shemeji yangu halali kwa binamu yalimshinda ya binamu akaamua amwachie uhuru ...
1WATHESALONIKE 5
katika maombi.

Asante sana Obe
ANZA SIKU NA BWANA
Shukrani sana mkuu JJ
Hatutaki maneno mengi
Tunataka vitendo tu
.....
Amen madam
Karibu
Niyonzima vipi?
Keshasaini Simba au kasaini Bongo muvi
Watani mchukueni tu Prof Hakuna Lipumba wa CUF Fc
.....
Maneno yanachosha
Mbali wapi huko?![]()
Nimeshakaribia
Zamani kidogo kitaani nimewahi kushuhudia ndoa ya mkeka ila kisheria ndoa ni makubaliano/maridhiano baina ya watu wawili kuishi pamoja
"Kuwalazimisha" kunaifanya iwe batili
........
Ameeen
Enzi uzi unaanza. Kipindi hicho alikuwa anaitwa Jambilo
![]()
vita ilipiganwa hadi Jan 15 1970 ambapo jimbo la Biafra lilishindwa vita na hivyo kumezwa na Nigeria![]()
.......
Na itakuwa bonge la usajili
Ataenda kulala kwenye jengo lao mtaa wa Msimbazi
......
Neno Kapuku halina maana yoyote ni swaga tu
........
Karibuu...
Kama nakufahamu![]()
![]()
Shukrani sana mkuu JJ
Hatutaki maneno mengi
Tunataka vitendo tu
.....
Amen madam
Karibu
Niyonzima vipi?
Keshasaini Simba au kasaini Bongo muvi
Watani mchukueni tu Prof Hakuna Lipumba wa CUF Fc
.....
Maneno yanachosha
Mbali wapi huko?![]()
Nimeshakaribia
Zamani kidogo kitaani nimewahi kushuhudia ndoa ya mkeka ila kisheria ndoa ni makubaliano/maridhiano baina ya watu wawili kuishi pamoja
"Kuwalazimisha" kunaifanya iwe batili
........
Ameeen
Be blessed
Mkuu kwema ??Kapuku ya enzi zilee
Kwema chiefZa siku
Safi sanaKwema chief
TumeadimikaaSafi sana
Ukiona hovyo ujue tumekua na majukumu yameongezekaTumeadimikaa
Umeenda wapi wewenimemmiss sakayo wa gauni la blue
AiseeeUkiona hovyo ujue tumekua na majukumu yameongezeka
SakayoAiseee