Makapuku Forum

Makapuku Forum

3148792d884e95f801db53de41b6441f.jpg
 
Ulemavu mbaya ni wa akili (ukichaa)
Ukiwa chizi basi maosha yako ndo basi tu
Utasikia lakini hutaelewa
Utaona lakini hutaelewa
Utaweza kiongea lakini hautaeleweka
Utaweza kutembea lakini utazurura ovyo km paka
Una mikono lakini hautajua hata kuitumia kuoga(utasubori kuogeshwa)
Una nguo kabatini lakini utaona ni km mzigo tu Hivyo utaamua kutembea uchi

......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom