Makapuku Forum

Makapuku Forum

Toa hiyo signature basi
tumblr_mhel58hnuM1s4xdz1o1_500.gif
 
Muziki: Utulivu, Mahakama Inaendelea

...ujue nilienda mahakamani leo, eeh , hizi hizi mahakama zetu ambazo hakimu anaruhusiwa kukaa na mshitakiwa au shahidi lazima asimame muda wote. Juilize maana si wote tuko sawa mbele ya sheria, kama mmoja amekaa kwanini mwingine asimame, akisimamisha si aibu. Sasa kabla hujasimama au kukaa ngoja nikusalimie kwanza kapuku ninayekuheshimu na heshima hii najua leo ina maswali, mahakamani nilienda kufanya nini!/

Basi bhan, mahakamani leo nilienda kwa sababu mjomba wangu, yes my own uncle Lyon Lee baada ya ile safari yake ya Kilombero siku ya Valentine alirudi na simu mbili moja mpya nyingine hii mnayoijua wote. Nikamuuliza anko mbona simu mpya umerudi nayo si ulisema ni zawadi kwa aunt mpya, mjomba akasema ndiyo niko sahihi ila masharti ya zawadi hayakuzingatiwa maana Valentina kwenye Valentine alikuwa kwenye siku yake asingeweza kutembea. Mjomba karudi na simu yake, aunt mpya kaenda mahakamani, kesi itaendelea baada ya upelelezi kukamilika na shahidi wa upande wa mashtaka ni aunt yangu mnayemjua. Mimi ni msikilizaji tu, sitaki wanijue kama ninajua A to Z kiwanda cha nguo Arusha

Muziki sasa, utamchukia tu lakini kanata na beat, ukikataa sikulazimishi, mahakama inaendelea na hivyo na hivyo utulivu unahitajika

 
Muziki wa Mdhamini: Mdhamini Kabadili Signature

....mambo ya Biko na Tatu mzuka (sio tatu bomba zile salama zenye vipele- maana kuna wenye akili zao wanaweza wakapiga picha wanaingia duka la dawa baridi kununua dawa moto) yamemfanya aunt yangu abadili signature. Yeah, mdhamini wa leo Shunie baada ya kuliwa sana na muhindi kwenye tatu mzuka na biko (hivi ni wahindi au waswahili- maana wakiwa waswahili wana style nyingi za kumla mtu, wahindi wao ni chukuchuku otahe), kaamua kubadili signature.

Tuungane na mdhamini wetu kwenye muziki wa mdhamini. Mjomba nakusalimia tu





Jokes aside (utani kando) muziki mzuri huu, hisia zimetawala, asante aunt. Mimi na BlessedHope tunakushukuru sana
 
Muziki wa Mdhamini: Mdhamini Kabadili Signature

....mambo ya Biko na Tatu mzuka (sio tatu bomba zile salama zenye vipele- maana kuna wenye akili zao wanaweza wakapiga picha wanaingia duka la dawa baridi kununua dawa moto) yamemfanya aunt yangu abadili signature. Yeah, mdhamini wa leo Shunie baada ya kuliwa sana na muhindi kwenye tatu mzuka na biko (hivi ni wahindi au waswahili- maana wakiwa waswahili wana style nyingi za kumla mtu, wahindi wao ni chukuchuku otahe), kaamua kubadili signature.

Tuungane na mdhamini wetu kwenye muziki wa mdhamini. Mjomba nakusalimia tu





Jokes aside (utani kando) muziki mzuri huu, hisia zimetawala, asante aunt. Mimi na BlessedHope tunakushukuru sana
asante sana binamu yangu ubarikiwe mno yaan mno
 
Anae hitaji vitabu vya huyu mtu vipo nyumbani vingi sana , mimi ni mwislamu ila baba yangu mkubwa alikuwa mkiristo Kesha kufa kwa hiyo anaevitaka nitampatia mimi nipo moshi


Wow! Asante kwa offer, japo hujasema utampa kwa malipo (kumuuzia) au utampa bila malipo.

Najua wapo wadau watanufaika na hili iwavyo vyovyote.

Side Note: Tukibaliane tu kuwa Makapuku ni sehemu nzuri kuwepo. Ushahidi ni wa huyu mdau
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom