Juu ya game ya totthenham kimeandikwa normal kipo juu ya kila mechi icho unakiponyeza unachagua option unayotaka kuichezaHapo jaman nitaweza kweli
Sasa nachagua najua mm jamanJuu ya game ya totthenham kimeandikwa normal kipo juu ya kila mechi icho unakiponyeza unachagua option unayotaka kuicheza
Na wewe unabet ?Hapo jaman nitaweza kweli
Usincheke basi jaman mpaka mwenyewe nimechekaNa wewe unabet ?
Wonders shall never cease!
Fanya ivi bonyeza hapo juu kabisa ya app yako mkono wa kushoto kuna vi mistari vitatu vyeupe alafu scroll kushuka chini utaona sehemu umeandikwa HELP alfu inafuatiwa na maneno How to bet ingia hapo soma maelekezo vizuri alfu ukiona hujaelewa niambie nikuelewesheSasa nachagua najua mm jaman
Arrrghh me nimeshindwa jamanFanya ivi bonyeza hapo juu kabisa ya app yako mkono wa kushoto kuna vi mistari vitatu vyeupe alafu scroll kushuka chini utaona sehemu umeandikwa HELP alfu inafuatiwa na maneno How to bet ingia hapo soma maelekezo vizuri alfu ukiona hujaelewa niambie nikueleweshe
Tafuta mda tulia utaelewa usiwe na haraka mamaArrrghh me nimeshindwa jaman
Kweli Magufuli ni mpango wa Mungu.Usincheke basi jaman mpaka mwenyewe nimechekanipo darasani hapa nafundishwa jinsi ya kubet
Yaani wewe Shunie umeanza kubet kweli ?Usincheke basi jaman mpaka mwenyewe nimechekanipo darasani hapa nafundishwa jinsi ya kubet
Yaani wewe Shunie umeanza kubet kweli ?
mpaka huyu bwana atoke Ikulu tutaona mengi sana
Kweli Magufuli ni mpango wa Mungu.
yaaani wewe kama mke wangu keshi tu talaka. Na mali narudisha Khaaaa!
Sawa soma tu mjukuu wangu?Sijambo babu shikamoo nipo darasani
Sawa soma tu mjukuu wangu?
Bora usielewe mjukuu wangu.... Usije ukawa miongoni mwa wale maskini milioni 10 wanaomchangia tajiri mmoja 500 kila kichwa ....matokeo yake tajiri anapata bilioni 5 halafu anatoa milioni 50 kuwapa baadhi ya wale maskini...ila sijaelewa bado hiki kichwa ni kizito babu
Hamna naona wadada wengi tu kwenye kubet na mahela wanashinda ndio na mm nataka nifundishwe hivi kwa nini lakini unanicheka
Bora usielewe mjukuu wangu.... Usije ukawa miongoni mwa wale maskini milioni 10 wanaomchangia tajiri mmoja 500 kila kichwa ....matokeo yake tajiri anapata bilioni 5 halafu anatoa milioni 50 kuwapa baadhi ya wale maskini...
Mjukuu wangu mimi nina bima ya uzee ....ukizidiwa unasema nikupunguzie saliobabu ebu niache ningejua ungekuwa unanisumbua kuniomba mahela
Mjukuu wangu mimi nina bima ya uzee ....ukizidiwa unasema nikupunguzie salio
Ha ha ha ha ha ha.. Toka lini mtu akaomba kwa babu yake? Huwa anadai Kwa sababu ni haki yake!!!!mpaka niseme sasa we nipunguzie tu wengine hatujui kuomba