Makapuku Forum

Sasa nachagua najua mm jaman
Fanya ivi bonyeza hapo juu kabisa ya app yako mkono wa kushoto kuna vi mistari vitatu vyeupe alafu scroll kushuka chini utaona sehemu umeandikwa HELP alfu inafuatiwa na maneno How to bet ingia hapo soma maelekezo vizuri alfu ukiona hujaelewa niambie nikueleweshe
 
Arrrghh me nimeshindwa jaman
 
Yaani wewe Shunie umeanza kubet kweli ?
mpaka huyu bwana atoke Ikulu tutaona mengi sana
Hamna naona wadada wengi tu kwenye kubet na mahela wanashinda ndio na mm nataka nifundishwe hivi kwa nini lakini unanicheka
Kweli Magufuli ni mpango wa Mungu.
yaaani wewe kama mke wangu keshi tu talaka. Na mali narudisha Khaaaa!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…