Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nashukuru kwa kulipenda gitaa, ha hahhaaha, sababu ya kuhama siti ni ndefu ila kiufupi, safarini hasa kwenye mabasi na treni huwa kuna zile 'chai' za kunogesha safari. Alipodanganya kuwa mjomba wake alichinja chui nami nikampa kisa cha uongo, akachukia , nikaona isiwe tabu tudanganyane tukiwa mbali


Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
IMG-20180116-WA0009.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom