Makapuku Forum

Asante Obe ubarikiwe
 
ISAYA 62

6."Juu ya kuta zako ee Yerusalemu nimeweka walinzi,usiku na mchana kamwe hawatakaa kimya"

Enyi mnaomkumbusha Mwenyezi -Mungu ahadi yake, msikae kimya;

USIKU MWEMA DAMU YA YESU IWAFUNIKE
..

MSIKAE KIMYA MKUMBUSHE BWANA AHADI YAKE.
 
Asante Obe ubarikiwe
Asante BH, unanipa tabasamu kila wakati kwa namna ambayo bila kuchoka unatuweka sote katika sala zako.
Hata tu/napokukera bado hujawahi kubadili utaratibu wa kuniombea mimi na member wote bila kujali.

Hata unaponikera kwa kutosoma tule tumaandishi twangu tudogooo bado sichoki kukwambia, wewe ni wa kipekee yaani maneno mawili tu, awesome you. Usiku mwema
 
Asante sana kwa kujali..wewe ni wa pekee sana Obe namshukuru Mungu kwa ajili yaako akubariki na akulinde Baba siku zote za maisha yako
 
Mtaasisi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…