Sinoni
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 7,043
- 12,527
Ni pouwa, j'pil yako imeendaje?Ni poa sanaaa
Adje wewe??
safi mkuu, mambo vp?
gud mkuu, habari za mida?
Ni pouwa, j'pil yako imeendaje?Ni poa sanaaa
Adje wewe??
safi mkuu, mambo vp?
Jimena msalimie RUBII then ntafanya utambulisho dadake mieUpo?
Shem Vip?? Mbona hujiamini???Lolote wakikwambia kuhusu mimi huku usiwaamini honey
Hizo fom zake fake, chukua kwa mmeoOrlyt orlyt nipatie mkuu
Huyo ni fake pastorNishapewa habari zako babaa wewe ndio fataki wa forum

Mkuu!I hope sijachelewa ngoja niwape wamama wote heri ya siku yao ,Happy mothers Day ,tatizo langu la kutoweza kuandika comment zaidi ya moja kwenye thread bado lipo pale pale ,hivyo nikishindwa kuwa qoute mnisamehe bure
Heshima yenu pia makapuku wenzangu
Hujachelewa kabisa.I hope sijachelewa ngoja niwape wamama wote heri ya siku yao ,Happy mothers Day ,tatizo langu la kutoweza kuandika comment zaidi ya moja kwenye thread bado lipo pale pale ,hivyo nikishindwa kuwa qoute mnisamehe bure
Heshima yenu pia makapuku wenzangu
Nipo kaka.
Za jumapili?

Afadhali umekuja mapema leo, habari ya weekend?Nipo kaka.
Za jumapili?
njema sana, karibu kijiweniNi pouwa, j'pil yako imeendaje?
gud mkuu, habari za mida?
pouwa poa, j'pili unaimalizaje?Poa sanaaaa...... Niajez
Na kwako pia MKUUWapendwa nawatakia uck mwm
Na kwako pia Mpendwa
Afadhali umekuja mapema leo, habari ya weekend?
Hapana, kuna dem mmoja alikuwa ananitaka aitwa Patience123Nishapewa habari zako babaa wewe ndio fataki wa forum
Kwa majonzi makubwa maana kesho kazipouwa poa, j'pili unaimalizaje?
