Makapuku Forum

Makapuku Forum

I hope sijachelewa ngoja niwape wamama wote heri ya siku yao ,Happy mothers Day ,tatizo langu la kutoweza kuandika comment zaidi ya moja kwenye thread bado lipo pale pale ,hivyo nikishindwa kuwa qoute mnisamehe bure

Heshima yenu pia makapuku wenzangu
Hujachelewa kabisa.

Asante sana,

Vipi sasa application imerekebika au bado inasumbua?? Miss you
 
76183ecdd43490074178a11b1fcbba06.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom