Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Basi wewe endelea kuwekeza kwa wanawake tuu...Hata soda sitaki tena nimewekeza zaidi kwenye nyonyo za hawa bandugu 😀😀😀
Good lucky mkuu
Basi wewe endelea kuwekeza kwa wanawake tuu...Hata soda sitaki tena nimewekeza zaidi kwenye nyonyo za hawa bandugu 😀😀😀
Asante binamu hii nyimbo imfikie bae wangu mie jamaniMuziki: Kusikia Sio Kusikiliza
...juzi nilikuwa nabisha na anko wangu, eeh huyu huyu mnayemjua sio huyu mdogo. Anko mdogo yeye uongo mbaya ni mtu makini huwa anasikiliza sana na kuelewa mambo wakati akiwa hajalewa. Ila huyu anko wangu mnayemjua yeye atasikia kitu na atafanya maamuzi hapo hapo, yaani huwa namlinganisha na yule jamaa tuliyempigia kura mtawala lakini kila siku ni frustration tu akifurahia umaskini na kudhani kuwa tajiri ni dhambi. Hivi nimeanza tu bila kukusalimia wewe Kapuku mheshimika, basi nakusalimia na kukuambia ninakupenda sana, unalijua hilo.
Mabishano yangu na anko ni kuhusu kusikia na kusikiliza, ujue tupo wengi sana ambao huwa tunajidai kuelewa kwa kusikia na sio kusikiliza. Kuna tofauti kubwa kati ya kusikia na kusikiliza, kusikia ni kama unasikia mawimbi ya sauti na ubongo unapata taarifa. Kusikiliza ni mchakato, a mental process , unasikia, unafikiri na kuelewa ujumbe. Sasa anko kashangaa sana mbunge kujiuzulu kisa anaunga mkono sijui juhudi gani ambazo wengine hatuzioni na bado tunaunga mkono.
Muziki sasa, tusibishane kuhusu siasa, dini, mapenzi na mengine mengi, muhimu tusikilize ili tupate ujumbe, tunaweza kubishana usiku kucha humu kuhusu siasa kwa mfano, lakini je vyama tunavyobishania vinatupa meseji gani au ndo mambo ya potelea mbali ilmradi tu tunaunga juhudi ya kitu ambacho hatukielewi.
Mr T habar yakoWewe achana nazo mkuu.
Kunywa maji na soda tuu
Ni tamu kwa tuliojizoelea yaan tamu sana muulize obe na transcendIla si umesema tamu..?
Na ndivyo ilivyo msiokunywa mmewekeza chini huko
Dogo hujapunguza idadi ya watoto waremboObe naomba uniwekee wimbo wa Runtown _ For Life umburudishe kipenzi changu Evelyn Salt
Eeenh ndio nzuri kuliko za moto unalewa hapo hapo ukiwa kitandani unajiona unazunguka kitandani...unakunywa leo unalewa kesho
Dada yuko wapi LeeAsante binamu hii nyimbo imfikie bae wangu mie jamani
Sio kila kitu cha kuiga kama huwezi achana nacho tuHivi aachie wakongwe tuu![]()
Endelea kupiga PSasa mm Sinywi, sipendi mpira na hvyo ndo vilevi vya wanaume wengi nifanyeje sasa..?
Dogo hujapunguza idadi ya watoto warembo
Yupo kwa trumpDada yuko wapi Lee
Wavumilie tu. Shule zimefungwa!
Sawa umenikbusha usemi usemao nchi bila chama cha upinzani haiwezi kuwa na maendeleoKaka wameumbwa ajili yetu hawa, nidhambi tusipo watumia.. 😀😀
Sawa dadaYupo kwa trump
MmmmmmhhhhhhmLyon Lee umeona anacho nishauri mkeo..?