Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,463 Dec 13, 2017 #303,761 Obe said: ...hongera, ulifaulu la nne kumbe? Mimi nilirudia mara kibao hadi wakaniambia mikae mwaka miwli home ndo nije nianze la kwanza tena. Kuna watu mna bahati sana Click to expand... Pole
Obe said: ...hongera, ulifaulu la nne kumbe? Mimi nilirudia mara kibao hadi wakaniambia mikae mwaka miwli home ndo nije nianze la kwanza tena. Kuna watu mna bahati sana Click to expand... Pole
Transcend JF-Expert Member Joined Jan 2, 2015 Posts 20,553 Reaction score 63,058 Dec 13, 2017 #303,762 Shunie said: Oooh niliwaza mbali nilijua mambo ya kulana Click to expand... Ila shunie wewe! Naanza kukuita Mkulaji sasa
Shunie said: Oooh niliwaza mbali nilijua mambo ya kulana Click to expand... Ila shunie wewe! Naanza kukuita Mkulaji sasa
Obe Platinum Member Joined Dec 31, 2007 Posts 10,282 Reaction score 35,652 Dec 13, 2017 #303,763 Lyon Lee said: Mara papuuu anko obe kumbe ndo mwenye dar Click to expand... ...dady is coming, au unashangaa mimi ndo mchezaji mstaafu wa Simba nikiwa nacheza namba moja na Haruna Moshi Boban mimi wakiita Mamba
Lyon Lee said: Mara papuuu anko obe kumbe ndo mwenye dar Click to expand... ...dady is coming, au unashangaa mimi ndo mchezaji mstaafu wa Simba nikiwa nacheza namba moja na Haruna Moshi Boban mimi wakiita Mamba
Transcend JF-Expert Member Joined Jan 2, 2015 Posts 20,553 Reaction score 63,058 Dec 13, 2017 #303,764 Sakayo said: Teh Kuna ambao tutazimiaaaaaa Click to expand... Hahahaaaa Mara paap..! Unakuta unachatigi na magu chit chat..
Sakayo said: Teh Kuna ambao tutazimiaaaaaa Click to expand... Hahahaaaa Mara paap..! Unakuta unachatigi na magu chit chat..
Obe Platinum Member Joined Dec 31, 2007 Posts 10,282 Reaction score 35,652 Dec 13, 2017 #303,765 Lyon Lee said: Ulipewa nini sasa Click to expand... ...niliishia kupewa asante tu
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 Dec 13, 2017 #303,766 Lyon Lee said: Mara papuuu anko obe kumbe ndo mwenye dar Click to expand... He he nitakufwa mie
Obe Platinum Member Joined Dec 31, 2007 Posts 10,282 Reaction score 35,652 Dec 13, 2017 #303,767 Shunie said: Hawa wanajeshi waliouliwa Congo inasikitisha Sana Mungu awapumzishe mahali pema peponi Ameen kumbe 9 ni wa zanzibar Click to expand... ...wameuliwa kwa kosa gani? Hivi kuna kitu mimi sikijui jamani? Ninapouliza kuna jipya huwa sitanii
Shunie said: Hawa wanajeshi waliouliwa Congo inasikitisha Sana Mungu awapumzishe mahali pema peponi Ameen kumbe 9 ni wa zanzibar Click to expand... ...wameuliwa kwa kosa gani? Hivi kuna kitu mimi sikijui jamani? Ninapouliza kuna jipya huwa sitanii
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 Dec 13, 2017 #303,768 Lyon Lee said: Inauma sana kwa kwelii Click to expand... Mnoooooo yaan nilikua naangalia habari yao hapa
Lyon Lee said: Inauma sana kwa kwelii Click to expand... Mnoooooo yaan nilikua naangalia habari yao hapa
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,463 Dec 13, 2017 #303,769 Transcend said: Hahahaaaa Mara paap..! Unakuta unachatigi na magu chit chat.. Click to expand... Hahaaaaa Kuna ambaye niko nae aki nimeshangaaaaaaaa
Transcend said: Hahahaaaa Mara paap..! Unakuta unachatigi na magu chit chat.. Click to expand... Hahaaaaa Kuna ambaye niko nae aki nimeshangaaaaaaaa
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 Dec 13, 2017 #303,770 Sakayo said: Mie niyaona ile Siku... Huku hayapo ila yeye si Wa Dar Click to expand... Najua wapi me kama ye wa ebu tutamuuliza
Sakayo said: Mie niyaona ile Siku... Huku hayapo ila yeye si Wa Dar Click to expand... Najua wapi me kama ye wa ebu tutamuuliza
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 Dec 13, 2017 #303,771 Obe said: ..kumbe hajaachiwa tu? Ndo maana unazidi kupendeza kumbe umefurahia kutekwa kwa anko wangu, nitamtafuta nimwambie Click to expand... Eeenh nimefurahia ukionana nae msalimie sana
Obe said: ..kumbe hajaachiwa tu? Ndo maana unazidi kupendeza kumbe umefurahia kutekwa kwa anko wangu, nitamtafuta nimwambie Click to expand... Eeenh nimefurahia ukionana nae msalimie sana
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 Dec 13, 2017 #303,772 Lyon Lee said: na ulivo honeymoon ndo kazii hiyo lazima uliweee Click to expand... Teh Kula uliwe
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 Dec 13, 2017 #303,773 Transcend said: Ila shunie wewe! Naanza kukuita Mkulaji sasa Click to expand... Mkulaji kwani me ni mwanaume
Transcend said: Ila shunie wewe! Naanza kukuita Mkulaji sasa Click to expand... Mkulaji kwani me ni mwanaume
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 Dec 13, 2017 #303,774 Obe said: ...wameuliwa kwa kosa gani? Hivi kuna kitu mimi sikijui jamani? Ninapouliza kuna jipya huwa sitanii Click to expand... Aiseeee ebu muulize anko wako Lyon usinichoshe tusichoshane
Obe said: ...wameuliwa kwa kosa gani? Hivi kuna kitu mimi sikijui jamani? Ninapouliza kuna jipya huwa sitanii Click to expand... Aiseeee ebu muulize anko wako Lyon usinichoshe tusichoshane
Transcend JF-Expert Member Joined Jan 2, 2015 Posts 20,553 Reaction score 63,058 Dec 13, 2017 #303,775 Sakayo said: Hahaaaaa Kuna ambaye niko nae aki nimeshangaaaaaaaa Click to expand... Juzi nilimuona mtu anapigwa sound na Waziri fulani kule MMU.
Sakayo said: Hahaaaaa Kuna ambaye niko nae aki nimeshangaaaaaaaa Click to expand... Juzi nilimuona mtu anapigwa sound na Waziri fulani kule MMU.
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,463 Dec 13, 2017 #303,776 Shunie said: Najua wapi me kama ye wa ebu tutamuuliza Click to expand... Sawa Yuko kule anakusubiria ujue
Shunie said: Najua wapi me kama ye wa ebu tutamuuliza Click to expand... Sawa Yuko kule anakusubiria ujue
Lee JF-Expert Member Joined Jul 31, 2013 Posts 44,001 Reaction score 150,526 Dec 13, 2017 #303,777 Obe said: ...niliishia kupewa asante tu Click to expand... Bora wewe uliipataa
Transcend JF-Expert Member Joined Jan 2, 2015 Posts 20,553 Reaction score 63,058 Dec 13, 2017 #303,778 Shunie said: Mkulaji kwani me ni mwanaume Click to expand... Wewe ni Mliwaji eeh?
Lee JF-Expert Member Joined Jul 31, 2013 Posts 44,001 Reaction score 150,526 Dec 13, 2017 #303,779 Shunie said: Teh Kula uliwe Click to expand... Ewaaaaaaah
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,463 Dec 13, 2017 #303,780 Transcend said: Juzi nilimuona mtu anapigwa sound na Waziri fulani kule MMU. Click to expand... Hahahaaa Mbona hukuniitaaa!!!!
Transcend said: Juzi nilimuona mtu anapigwa sound na Waziri fulani kule MMU. Click to expand... Hahahaaa Mbona hukuniitaaa!!!!