Makapuku Forum

kibonge cheusiii kifupi kama kipipa ebu niache mie maka usije ukanianzishia thread au kunisema kwa mafumbo
Unanionaje kwanza shunie, ama unanichukuliaje.. kwamba na mimi nina akili fupi kiasi cha kufanya hayo, why ufikiri hvyo, kwani mimi nimekamilika sana kiasi ukifika utaniona mkamilifu sina kasoro.. binadamu tumeumbwa hvyo ukose kasoro, umejiumba wewe.. nmefahamiana na watu kadhaa humu jf, wengine ni vituko mnoo, lakin sijawahi kufikiri kufanya upuuzi huo.
 
Asanteeeee
 
Asante mkuu obe
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…