lizziebettie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2014
- 2,873
- 11,966
Achana nae Huyo. Hana adabu kabisa anaongea maneno ya hovyo humu mimi namchoraYes babe! Hawa wasaga sumu watashindwa wenyewe
Young Wa bloodNdio nani huyo?
Kwa maombi ya kawaida sidhani, pengine we yaambatane na kufungaNahitaji maombi
au kwa maneno mengine...beki hazikabi?
DoohYoung Wa blood
KAMA HUMJUI MAMA MKWE WAKO ANGALIA DP YA MPENZ WAKO LEO.
Happy mother day!!!![]()

Duuhh...ngoja nianzeKwa maombi ya kawaida sidhani, pengine we yaambatane na kufunga
Miss you too diaWazima humu.Miss u all
Inabidi tuumpe dawa ya adabu.Achana nae Huyo. Hana adabu kabisa anaongea maneno ya hovyo humu mimi namchora
Endelea na maneno yako ya shombo kama muuza samaki wa feri![]()
![]()
![]()
Kama huamini jaribu utaona.
Mimi nimeamua kuacha tu.
Nikaogopa jamaa akijua anaweza akabugia sumu ya kuulia mende.
R.I..p chura fc a.k.a mkia fc au mbumbumbu fc au simba fcMasikini R I P
Ha haaah nimewafahamu mama wakwe Leo....KAMA HUMJUI MAMA MKWE WAKO ANGALIA DP YA MPENZ WAKO LEO.
Happy mother day!!!![]()
Poa brother.Asante kwa kuliona hilo braza, hata mimi naanza rasmi.
Usijali Dada huyo youngblood hanisumbui kabisa. Akajua nitamuacha wifi yako kumbe wala
Th Name![]()
lizziebettie forever
