Makapuku Forum

nafanya pepa ya electrical installation

...oh, hiyo ngumu sana upande wangu kwa hiyo hata maombi yangu yatakuwa magumu kukufanya ufanikiwe. Wanaoijua hiyo EI watakuwa washakuombea. Ukimaliza paper na ukaanza kufanya you know, like internship, nitakuomba uje unifanyie wiring (ina tofauti na EI?) kwenye kibanda changu , umeme wa REA unakuja
 
shemela wewe sio mtu mzuri ujue
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…