Makapuku Forum

Asante sana
 
Shunie homa ya INI ni sheeeda


...ni shida ndiyo lakini kama nakumbuka sawasawa, kuna chanjo unachanjwa ukiwa mtoto au hata ukiwa na umri ulionao wanakuchanja na kuna baadhi ya nchi huwezi kuingia kama hujachanjwa hii na kama huna rekodi basi wanakuchanja. Itakuwa ni ajabu sana kama Tanzania wanaruhusu mgeni kuingia bila kuwa na kadi inayoonesha alichanjwa si tu hii ya ini bali na mengine pia.

Kuhusu tiba- virusi wengi hawatibiki wanazuilika na hata hawa wanazuilika na wanadhoofishwa kabisa, makala imehemuka kidogo na kuonesha kuwa hakuna tiba, ipo, halafu hivi kondomu tutatumia kwenye mambo mangapi? yaani badala ya kufanya kwa starehe unakuwa na mawazo ya ajabuajabu tu na si ajabu mikojo inakuwa kidoooooogo.

Kama ulitegemea nitaandika kama mtaalamu sahau, mimi nami nimejisomea tu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…