Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Maka ni ajeeeMiss you mpaka najionea aibu mwenyewe ndugu yangu..
Hope j1 ntaamkia dar salam..
Maka ni ajeeeMiss you mpaka najionea aibu mwenyewe ndugu yangu..
Hope j1 ntaamkia dar salam..
Alikuwa hana khabari!!Unaanzaje kunisingizia na wakati unanijua kweli kuliko ninavyojijua mwenyewe
Koncho hebu nipe utaratibu wa kuingia hilo jukwaa..Ngoja nimsake
Mamaa vifungu.. ubarikiwe.Ayubu 19:25-27.
25 Lakini mimi najua ya kuwa Mteteaji wangu yu hai, Na ya kuwa hatimaye atasimama juu ya nchi.
26 Na baada ya ngozi yangu kuharibiwa hivi, Lakini, pasipokuwa na mwili wangu nitamwona Mungu;
27 Nami nitamwona mimi nafsi yangu, Na macho yangu yatamtazama, wala si mwingine.
Kila siku T unauliza hili swali halaf tunakujibuShunie hayo majukwaa mtu unaingiaje?
Koncho hebu nipe utaratibu wa kuingia hilo jukwaa..
Afu mtu si anaweza akaleft ama?
Ahahahh hawezi juwaAlikuwa hana khabari!!
Ameen MomAyubu 19:25-27.
25 Lakini mimi najua ya kuwa Mteteaji wangu yu hai, Na ya kuwa hatimaye atasimama juu ya nchi.
26 Na baada ya ngozi yangu kuharibiwa hivi, Lakini, pasipokuwa na mwili wangu nitamwona Mungu;
27 Nami nitamwona mimi nafsi yangu, Na macho yangu yatamtazama, wala si mwingine.

Yaani amin maandishi yangu.. inshaalla j1 ntakuwa dar salaam.. labda dharura maana ya mungu mengi.Ahahhhh uamkie dar kweli maka
Nishasahau bhana...! Tatizo huwa na uvivu wa kwenda huko...ila leo nataka niingiemoKila siku T unauliza hili swali halaf tunakujibu
Mtafute amii halunde, amii zahran, faki n.k, watakufunza.Najua hiyo ni salaam sijui najibu vipi
Nakuombea maka akee ufike salamaYaani amin maandishi yangu.. inshaalla j1 ntakuwa dar salaam.. labda dharura maana ya mungu mengi.
Mungu akulinde na mabaya yote
SawaMtafute amii halunde, amii zahran, faki n.k, watakufunza.
Slim shaddy
Unataka kuingia kufanya nini wakiokuwepo wanatosha hawaingizi watu wapyaNishasahau bhana...! Tatizo huwa na uvivu wa kwenda huko...ila leo nataka niingiemo
Mmmh...basi sawa.Unataka kuingia kufanya nini wakiokuwepo wanatosha hawaingizi watu wapya
