Makapuku Forum

Makapuku Forum

MICHIRIZI YA DAMU -12

“Mleteni lakini nitamfanyia baada ya saa tano,” alisema Dk. Watson.
“Haina shida.”
Hawakutaka kubaki nyumbani hapo, haraka sana akachukuliwa na kupelekwa katika hospitali hiyo. Muda wote huo Fareed alikuwa na hofu moyoni mwake, alihisi kwamba huo ndiyo ulikuwa mwisho wake.
Alikuwa na mzigo mkubwa wa madawa ya kulevya tumboni mwake, wakati mwingine alihisi kwamba kete zile zingeweza kupasuka na madawa hayo kusambaa mwilini mwake na kumuua.
Hakutaka kuona hilo likitokea, alilia kimyakimya, kwake, Belleck alionekana kuwa mwanaume katili aliyeithamini fedha yake kuliko hata uhai wa watu wengine. Huyo hakuwa mwanaume aliyestahili kuwa hai, alitakiwa kuuawa kwani kwa kutumia fedha zake alipata nafasi ya kuwafanyia watu wengine matendo mabaya ya kikatili.
“Mungu nisaidie! Nikitoka katika hili, nitakukabidhi maisha yangu!” alisema Fareed huku gari likiwa safarini kuelekea hospitalini huko.
Hawakuchukua muda mrefu wakafika hospitalini hapo ambapo moja kwa moja akachukuliwa na kupelekwa katika chumba maalumu kwa ajili ya mapumziko. Hapo alipokuwa, muda wote mwili wake ulikuwa ukimtetemeka, aliogopa, mbele yake alikiona kifo kitu ambacho hakutaka kukiona kikitokea mpaka pale atakapokamilisha ndoto zake.
“Mbona unakuwa na hofu sana?” aliuliza mwanaume mmoja.
“Hapana! Sina hofu!”
“Usiogope. Ni suala la kuchukua mzigo wetu na wewe tutakuruhusu kuondoka,” alisema mwanaume huyo, japokuwa alijitahidi kumuondoa hofu Fareed lakini hakuonekana kuwa na amani hata kidogo.
Baada ya dakika kadhaa, daktari huyo akafika mahali hapo, akamwangalia fareed, uso wake ulikuwa na maswali mengi juu ya jinsi aliyokuwa nayo mtu aliyeletwa hospitalini kwake siku hiyo.
“Huyu ni mwanamke au mwanaume?” aliuliza Dk. Watson.
“Mwanaume!”
“Hapana! Mbona kama mwanamke?”
“Ni mwanaume tata!”
“Hapo sawa. Tena kwa sababu ana tabia chafu hivyo, nitamfanyia upasuaji bila ganzi,” alisema daktari huyo.
Baada ya dakika kadhaa, akamwambia Fareed aingie katika chumba kingine kabisa. Akasimama na kuelekea katika chumba hicho ambacho kwa kukiangalia tu wala usingejiuliza maswali mengi juu ya kazi iliyokuwa ikifanyika ndani ya chumba hicho.
Kulikuwa na vifaa vingi vya kufanyia upasuaji, kilitisha na kila wakati Fareed alipokuwa akikiangalia mapigo yake ya moyo yalidunda kwa nguvu, aliogopa mno na kuuona mwisho wake ukiwa umekaribia.
“Usiwe na hofu, chukua maji kwanza unywe,” alisema daktari huyo huku akimpa maji ambayo aliyawekea dawa ya usingizi. Fareed hakujua, akayapokea maji hayo na kunywa harakaharaka, baada ya dakika mbili tu, macho yake yakawa mazito na hapohapo kulala kwenye kiti alichokuwepo. Akanyanyuliwa na kulazwa kwenye kitanda cha kufanyia upasuaji tayari kwa kufanya kazi hiyo.
****
“Mchungaji! Mimi ni mkosaji! Nimekuja kutubu dhambi zangu! Nimekuwa nikimtumikia shetani kwa kipindi kirefu katika maisha yangu. Nimemtenda Mungu wangu dhambi! Nimekuja kutubu mchungaji,” alisikika mtu mmoja akimwambia padri aliyekuwa kwenye chumba kidogo cha kuungama dhambi.
“Umefanya nini mtoto wa Mungu?” aliuliza padri huyo.
“Nimezini kwa kipindi chote cha maisha yangu, nimekuwa na tamaa ya fedha, nimekuwa nikimtumikia shetani kwa kila aina ya uchafu. Nimechoka, ninataka kuokoka mchungaji, sitaki kumtumikia tena shetani,” alisikika mtu huyo akizungumza na padri huyo ambaye muda wote alikuwa akionyesha ishara ya msalaba.
“Mungu atakusamehe dhambi zako. Amesema kwamba hata kama dhambi zako zinakuwa nyekundu kama damu, atazisafisha na kuwa nyeupe kama theluji,” alisema padri huyo.
****
“What is wrong with her?” (nini kimemtokea?)
“Asthma.” (pumu)
“Where is her inhler?” (kifaa chake cha kuwekea dawa ya pumu kipo wapi?) alisikika mwanamke mmoja akiuliza.
“Here it is but there is nothing in it!” (hiki hapa lakini ndani hakuna kitu) alisikika msichana mmoja akijibu.
“What?” (nini?)
Kila mmoja ndani ya nyumba alichanganyikiwa, mtoto Kyle alikuwa amebanwa na pumu ambayo ilikuwa ikimsumbua kila siku. Mama yake na mfanyakazi wa ndani walichanganyikiwa, walijaribu kuangalia dawa ya kumpa iliyokuwa kwenye kifaa kidogo kinachojulikana kama inhler ambacho alitakiwa kuivuta kwa mdomo dawa hiyo lakini kitu cha kushangaza kabisa, kifaa hicho hakikuwa na dawa yoyote ile.
Waliuona mwisho wa Kyle, alikuwa akilalamika, alikipandisha kifua chake juu kama mtu aliyetaka kukata roho, alipumua juu juu kwa tabu sana kiasi kwamba kila mmoja alikuwa na uhakika kwamba binti yao angekufa usiku huo.
Mama yake hakutaka kuchelewa, haraka sana akachukua simu yake na kumpigia mume wake, Dk. Watson ambaye alikuwa ni daktari kwa lengo la kumwambia kile kilichokuwa kikiendelea kwa mtoto wao, Kyle.
“Unasemaje?” alisikika daktari huyo akiuliza kutoka upande wa pili wa simu.
“Kyle anakufa! Njoo na dawa haraka sana.”
“Dawa zake zipo wapi?”
“Zimekwisha…” alijibu mwanamke huyo na kukata simu.
Kyle hakuwa kwenye hali nzuri hata mara moja, kadiri dakika zilivyozidi kwenda mbele ndivyo hali yake ilivyozidi kuwa mbaya kiasi kwamba kila mmoja ndani ya nyumba hiyo alijua kwamba siku hiyo ndiyo ilikuwa siku ya mwisho kwa msichana huyo kuishi duniani.
Upande wa pili Dk. Watson ambaye alitakiwa kumpasua Fareed na kutoa kete za madawa ya kulevya alichanganyikiwa kupita kawaida. Alimuandaa mwanaume huyo kitandani, alimnywesha maji yaliyokuwa na dawa ya usingizi na alipotaka kumfanyia upasuaji akapokea simu hiyo kutoka kwa mkewe, simu ambayo ilimtisha kupita kawaida.
Hakutaka kubaki hospitalini hapo, mtoto wake, Kyle alikuwa kila kitu katika maisha yake, alimpenda kuliko kitu chochote kile, kuipuuzia simu ile na kuendelea kufanya mambo yake kwake lilionekana kuwa jambo la kijinga ambalo hakuwahi kulifanya katika maisha yake yote, alichoamua ni kuwaambia vijana waliomleta Fareed kwamba asingeweza kumpasua kwani kulikuwa na simu muhimu aliyokuwa amepigiwa.
“Ila si mara moja tu dokta?” aliuliza kijana mmoja.
“Hapana! Hii kazi inahitaji umakini sana kwani unaweza kumpasua ilimradi tu ukazipasua kete hizo na kupata hasara,” alisema daktari huyo, akawaaga na kuwaambia kwamba angerudi baada ya kumnunulia mtoto wake dawa iliyokuwa ikihitajika.
“Kwa hiyo huyu tumfanyaje?”
“Mwacheni humohumo nitakuja!”
“Sawa.”
Vijana wale hawakuwa na neno lolote lile, walichokijua ni kwamba Fareed alikuwa salama ndani ya chumba kile, wakabaki mahali hapo huku wakipiga stori kwani hawakutakiwa kuondoka mahali hapo mpaka daktari huyo atakaporudi na kufanya kile alichotakiwa kufanya.
Muda ukazidi kwenda mbele, dakika zilikatika lakini Dk. Watson hakuwa amerudi hospitalini hapo kitu kilichowafanya kuwa na wasiwasi kwamba inawezekana daktari huyo aliwakimbia.
Wakampigia simu, akawaambia kwamba angekuja kwani hali ambayo alimkuta nayo mtoto wake haikuwa nzuri, ilikuwa ni lazima akae naye kidogo na kurudi hospitalini hapo kuendelea na kazi.
Lilipofika saa moja, Fareed akashtuka kutoka katika usingizi aliokuwa nao. Kitu cha kwanza kabisa baada ya kuyafumbua macho yake ni kuangalia mahali alipokuwa.
Aligundua kwamba palikuwa ni hospitalini, hakukumbuka ni kwa namna gani alifika mahali hapo lakini baada ya kukaa na kukumbuka kwa sekunde kadhaa, akakumbuka kila kitu kilichokuwa kimetokea.
Akakurupuka kutoka kitandani pale, ile haikuwa sehemu salama, alijua fika kwamba kama asingeondoka ndani ya chumba hicho ilikuwa ni lazima kupasuliwa tumbo lake na kutolewa kete za madawa ya kulevya zilizokuwa tumboni mwake.
Hakutaka kuona hilo likitokea, ilikuwa ni lazima kuondoka hospitalini hapo, akateremka kutoka kitandani, akaufuata mlango lakini hata kabla hajaufungua, akawasikia watu wakiwa wanaongea kwa nje.
“Mmh!” alijikuta akiguna.
Hakujua ni kitu gani alitakiwa kufanya, akarudi kitandani pale na kutulia, kichwa chake kilimuuma, alitamani hata kupitia katika mlango mwingine lakini kitu kibaya kwake ni kwamba hakukuwa na mlango wowote zaidi ya ule waliokuwa wakiutumia.
Minong’ono ile ya watu bado iliendelea kusikika kutoka nje ya chumba kile, aliogopa, kwa jinsi alivyoona, ilikuwa ni lazima watu hao waingie ndani kumwangalia kwani hakujua daktari alikuwa mahali gani.
Alichokifanya ni kuusogelea mlango na kisha kuufunga kwa ndani, hakutaka mtu yeyoite aingie ndani ya chumba kile na kumkamata, alijua kwamba angekufa, ila hakuwa tayari kuona akifa siku hiyo.
“Ni lazima nifanye kitu!” alisema lakini hata kabla hajafanya kitu hicho, akasikia kitasa cha mlango kikianza kutekenywa kwa ajili ya kufunguliwa lakini haukufunguka kitu kilichowafanya kuanza kuugonga kwa lengo la kuuvunja.
****
Belleck alikuwa ametulia, masikio yake yalikuwa kwenye simu yake, alitaka kufahamu kile kilichokuwa kikiendelea nchini Ufaransa, alitaka kujua kama tayari Fareed alifanyiwa upasuaji na kutolewa kwa kete za madawa ya kulevya au kitu hicho hakikuwa kimefanyika.
Alisubiri sana, tangu Fareed afikishwe ndani ya hospitali, aliambiwa kwamba angepigiwa simu na kupewa kila kitu kilichokuwa kimeendelea lakini mpaka saa moja na nusu bado hakuwa ametaarifiwa kitu chochote kile.
Alichanganyikiwa, hakujua ni kitu gani kilitokea, hakutaka kuvumilia, hapohapo akachukua simu yake na kupiga upande wa pili, simu ilipopokelewa, akaambiwa kila kitu kilichokuwa kimetokea.
“Kwa hiyo Dk. Wtason hayupo?” aliuliza huku akionekana kushtuka.
“Ndiyo mkuu!”
“Atatuchelesha, ingieni ndani na mmuue kisha zitoeni hizo kete, hakuna haja ya kuendelea kumsubiri muda wote,” alisema Belleck na kukata simu.
Ilikuwa ni amri, vijana hao hawakutaka kuendelea kumsubiri daktari huyo, walitaka kufanya kile walichokuwa wameambiwa. Fareed alikuwa ndani ya chumba kile, haikuwa kazi kubwa kuingia na kumuua kisha kulipasua tumbo lake na kuzitoa kete alizokuwa amezimeza.
Wakaufuata mlango kwa lengo la kuufungua, haukufunguka, ulionekana kufungwa kwa ndani. Kwa kuwa hiyo haikuwa hospitali kubwa sana, hakukuwa na wagonjwa wengi wala madaktari hivyo kuanza kuupiga mlango huo kwa lengo la kuuvunja na kuingia, tayari walipewa agizo kwamba mtu huyo auawe hivyo hawakuwa na msalie mtume.
****
“What are you doing?” (mnafanya nini?) lilisikika swali kutoka kwa mwanamke aliyekuwa nyuma ya watu hao waliokuwa wakijaribu kuuvunja mlango ule wa humba alichokuwemo Fareed.
Vijana wa Belleck wakageuka nyuma na kumwangalia mtu aliyewauliza swali hilo. Alikuwa nesi wa hospitali hiyo, kibonge, aliyevalia gauni refu jeupe huku kichwani akiwa na kikofia kidogo cha kilichoonesha kwamba alikuwa muuguzi.
Bastola zilikuwa mikononi mwao, kitendo cha mwanamke huyo kuziona bastola hizo, hakutaka kubaki mahali hapo, akaanza kukimbia huku akiwaita polisi kwani alijua kwamba watu hao hawakuwa watu wazuri hata mara moja.
Ilikuwa ni hatari kwao, walijua kwamba hospitalini hapo kulikuwa na polisi, walijua fika kwamba walimiliki bastola zile kimagendo, wakaogopa na kuhisi kwamba kungekuwa na jambo baya, walichokifanya ni kukimbia mahali hapo kwenda kujificha kwani kama wangekutwa na polisi waliokuwa wakiitwa, maisha yao yangekuwa hatarini.
Fareed alikuwa ndani ya chumba kile, hakujua ni kitu gani alitakiwa kufanya, alitamani hata kama kungekuwa na mlango wa kuingia darini, aingie na kujificha huko lakini alipoangalia, hakukuwa na malngo huo.
Bado kitasa kiliendelea kutekenywa, mule ndani alikuwa akiogopa mno, alikosa amani na muda wowote ule alikiona kifo chake kikiwa mbele yake. Wakati akijifikiria ni kitu gani alitakiwa kufanya ndipo akasikia sauti ya mwanamke yule ikiwauliza wanaume hao, badala ya kujibu swali waliloulizwa, wakaanza kukimbia huku mwanamke huyo akiwaita polisi.
Ghafla, ukimya ukatawala mahali hapo, akaona nafuu moyoni mwake, hakutaka kubaki ndani, aliamini kwamba hakukuwa na mtu yeyote nje ya chumba hicho hivyo alichokifanya ni kuchukua mkoba wake uliokuwa na nyaraka zake za kusafiria na kuufungua mlango,akachungulia nje ya chumba kile, kweli hakukuwa na mtu hivyo kuanza kutoka.
Alifanikiwa, hakukuwa na hatari yoyote ile, hakutaka kusubiri, alijua kabisa kwamba kuendelea kusubiri mahali hapo ingekuwa hatari kwa maisha yake hivyo akaondoka kwa kupitia mlango mwingine, kwani kama asingefanya hivyo ilikuwa ni lazima kuuawa mahali hapo.
Akaondoka mpaka nje ya hospitali ile. Akaanza kutembea kuelekea sehemu iliyokuwa na magari mengi yaliyokuwa yamepaki. Alikuwa akijifichaficha kwani mahali hapo hakukuonekana kuwa na amani kwa maisha yake.
Akafika sehemu moja iliyokuwa na kiukuta na kutulia hapo. Macho yake alikuwa ameyaelekezea kule kulipokuwa na mlango wa kutokea katika jengo la hospitali hiyo, akawaona wale wanaume wawili wakiwa sehemu wamesimama, alijua dhahiri kwamba walikuwa wakimsubiri yeye.
Hakutoka mahali hapo, aliendelea kusimama na baada ya dakika kadhaa akamuona Dk. Watson akiteremka kutoka katika gari lililoingia sekunde chache, alipowaona wale vijana, akawafuata, akazungumza nao kwa sekunde kumi, ghafla wote wakaanza kukimbia kuelekea ndani.
Alijua fika kwamba walimpa taarifa kuhusu yeye, hakutaka kusubiri mahali hapo, haraka sana akachomoka pale alipokuwa na kuelekea nje ya hospitali hiyo ambapo baada ya kufika huko, akachukua teksi na kuondoka mahali hapo.
***
Dk. Watson na vijana wale wakafika mpaka ndani ya chumba kile, walishtuka, hakukuwa na mtu yeyote yule, Fareed ambaye walimuacha humo hakuwepo.
Walichanganyikiwa, hawakuamini kile walichokuwa wamekikuta. Wakaanza kumtafuta kila kona ndani ya hospitali hiyo lakini mtu huyo hakuonekana. Hawakujua ni kitu gani walitakiwa kufanya, hawakujua mahali alipokuwa ameelekea, hawakujua ni jinsi gani wangemwambia bosi wao, Belleck ambaye alikuwa akisubiri taarifa ya kifo cha Fareed kwa hamu kubwa.
“Yupo wapi?” aliuliza Dk. Watson.
“Hatujui! Ila tulimuacha humu ndani!”
“Sasa yupo wapi?”
“Hatujui!”
Itaendelea kesho
 
JAMANI ANKO

Sehemu Ya 1

MTUNZI: George Iron Mosenya

SIMU:0655727325

Nilitamani muda wa vipindi darasani umalizike ili iweze kutimiza ahadi niliyokuwa naisubiri kwa siku nyingi.
Mwalimu alikuwa akifundisha lakini ni kama nilikuwa sielewi wala sisikii alichokuwa anaelezea.
Mawazo yangu yote yalikuwa kwa Madam Jesca. Siku hiyo nilijisemea kuwa iwe isiwe lazima nimweleze ukweli na ikibidi siku hiyo hiyo yatimie ninayoyawaza kila kukicha.
Madam Jesca alikuwa ni mwalimu aliyekuwa akitufundisha kwa muda tu baada ya kuwa amemaliza kidato cha sita. Wakati huo sisi tulikuwa kidato cha nne.
Somo alilokuwa akitufundisha ni Kiswahili.

Hatimaye mwalimu akatoka na baada ya nusu saa nikaondoka kuelekea nyumbani kwa madam Jesca.
Niliingia baada ya kuwa nimegonga hodi.
“We Joshua mbona muda wa vipindi hivi we umekuja huku..” aliniuliza huku macho yake yakionyesha mshangao wa waziwazi.
Kanga yake aliyovaa ilikuwa imelowana na hivyo kusababisha niuone mstari wa chupi.
Na kama hiyo haitoshi madam Jesca alikuwa ana kitu kingine cha ziada. Awali nilidhani nimekifananisha lakini alipotembea nikahisi ni chenyewe.
Aidha alikuwa amevaa cheni ama la alikuwa ana shanga kadhaa kiunoni.
“Mwalimu nimekuja unifundishe aina za NOMINO”
“Joshua ni lini sasa utaacha vituko, aina za Nomino nyumbani kwangu eeh!!” alinikaripia lakini sikurudi nyuma niliamua kuwa iwe siku hiyo. Siku ya maamuzi yangu!!
“Madam, kwa hiyo unataka nifeli ama….” Nilimuuliza kwa uchungu. Nikauona uso wake ukipunguza makali ya hasira.
“Hebu ni kitu gani huelewi sasa hapa kwenye Nomino,…..” aliniuliza.
Nikatikisa kichwa na kuingiza mtego wangu. Madam mwenyewe hakuwa mkubwa ni basi tu ye alikuwa amenitangulia kieleimu na sasa ni mwalimu wangu.
“Madamu…nitafundishwa nikiwa nimesimama hivi kweli..” nilihoji huku nikitoa tabasamu hafifu sana.
Madam akatembea na kuingia ndani huku akinionyesha ishara ya kumfuata. Nikafanya kama alivyoniambia, nikiwa nyuma yake nikauona utamu halisi wa Madam ambao huwa unajificha katika mavazi yake ya kiualimu.
Alikuwa amegawanyika vizuri, kiuno kilijitenga kivyake na makalio yake yalikuwa katika mlingano sahihi hivyo hata kutikisika yalitikisika katika namna ya kuvutia.
Upesi nikaingiza mkono katika suruali yangu ya shule nikaishusha injini iliyoanza kunyanyuka juu nikaibana vyema katika mkanda ili isije kuniaibisha mbeleni.
Ubaya na uzuri wa chumba cha Madam Jesca ni kwamba kilikuwa kimoja tu, hivyo hakupata fursa ya kubadili nguo aliketi kitandani na kuniruhusu mimi nikae katika kiti.
“Iwe mara ya kwanza na ya mwisho kuingia katika nyumba hii. Shida zote tunamalizia shuleni sawa???” alijaribu kunikoromea. Na hapo nikauona utamu mwingine.
Jesca alikuwa na mwanya!! Mama weee!! Nilikuwa wapi siku zote bila kuuona huu mwanya.
“Nimekuelewa mwalimu!” nilijibu kwa nidhamu.
“Haya ni wapi hukuelewa…’
“Madam usiseme tu sikuelewa yaani siku hiyo sikuwa darasani kabisa…”
“Sasa utoro wako nd’o uje kunisumbua mimi ebo!!!” aling’aka.
“Sio utoro madam….. nilikumbwa na majanga sana…..”
“Yapi uongo tu!!!” alizidi kuwaka….katika namna ya kunisuta…
Na hapo ndipo nilipopataka zaidi.
“Madam nilipata misiba mfululizo we acha tu, kwanza mdogo wangu, sijakaa sawa kuna rafiki yangu wa tangu utoto naye akagongwa gari…mama ameugua muda mrefu pia madam,,, yaani aargh!! Mwaka huu ni wangu madam mi nitafeli tu na sijui nitakuwa mgeni wa nani, hesabu nimekosa topiki mbili, Chemistry nd’o sijagusa praktiko hata moja…..” na hapo nikasita kisha nikaanza kulia, nililia kiume machozi bila kelele.
Madam akajiingiza mkenge, akanishika na kuanza kunibembeleza. Huu si ndio utamu niliokuwa nautaka sasa….
Alinibembeleza mwisho nami nikajilaza kifuani mwaka.
Wacha wee!! Madam alikuwa na embe dodo kifuani ambazo zilikuwa na joto fulani linalokulazimisha kuendelea kuzilalia hata kama hutaki kulala. Mikono yangu ikazunguka katika kiuno cha madam na kukutana na ile cheni, nikaifyokonoa na kuizamisha katika kiuno chake.
Nikazisikia pumzi zake zikipishana kwa kasi, nikajua nimegusa penyewe.
“Usijali Joshu aaaaah!! Usijali utafaulu sawa eeeh!! Usijali Jo….ooooooH!!! aaaaaaH!!!” he!! Madame alikuwa anazungumza ama analalamika.
Nikatambua kuwa mambo tayari, nikamsukuma ghafla akatua kitandani kwake. Macho yake yalijaribu kunitazama lakini yalionyesha kusinzia kwa huba!!
Kanga ilikuwa imekaa hovyo tu, paja laini likinidxhihaki na kichupi cheupe nacho kikinichungulia na kuniambia karibu!!!
Sikutaka kuwa na papara, nikamrukia na kukutanisha ndimi zetu, akazipokea.
Ebwa ee!! Joto likaongezeka na suruali ikazidio kunibana….
Ni kama alijua vile kuwa jogoo anataka joto, nikaisikia mikono yake ikitafuta mkanda wangu huku ndimi zikiendelea kushambuliana kwa kasi. Akaupta mkanda, akaufungua nami nikajipandisha juu kidogo ili aweze kuitoa suruali vyema.
Akaishusha kidogo kwa mikono kisha akaisindikiza kwa miguu.
Mara mapaja yakagusana….doh!! nikajihisi nipo ulaya na wazungu wanataka kutoka katika jogoo wangu.
Aibu gani hii wazungu kutoka katika nchi kabla ya uhuru!!! Nikajibana huku na kule huku nikijaribu kukwepesha hisia zangu nisije kuaibika.
Ghafla mkono wa Jesca ukaikamata ikulu vyema, mikono laini kabisa ikaanza kupanda juu na kushuka chini kwa sababu maalumu kabisa.
Lakini kama nilidhani kuwa ile mikono ndo laini kupita kila kitu nilikuwa nimekosea.
Ni kama tulikuwa tunacheza kuwahiana, mimi nilikuwa nimemnyonya masikio, mara akanirukia na kujikunja huku akihema, akaimeza ikulu nzimanziama mama weee!! Nikajikuta napiga kelele kwa mshtuko. Jesca akanishambulia kwqa kasi sana hadi nikakiri kuwa nisipokuwa makini wazungu watatoka kabla sijapewa uhuru. Nikambandua kutoka pale kisha ikawa zamu yangu kutazama chumvi ya uvinza ina kiwango ama imeharibika tayari.
Nikazamisha ulimi na kuanza kufanya upelelezi. Nilipopiga kelele nilidhani nimejiaibisha lakini madam alikuwa zaidi. Sijui kilikuwa kichaga kile. Neno kuu alilorudia mara kwa mara ni ‘yerewiiii na jingine mbombo ngafu…’ kama sikosei ni hayo. Nadhani mchaga yule. Chumvi yake ilikuwa ina ubora, madam alikuwa msafi kupindukia.
Hakuwa akitoa harufu kabisa!!
Maana akina Mwajuma wa mtaani kwetu almanusura nitapike nilipozama siku ile!!
Huyu alikuwa smart haswa!!
Kama ni utamu ndipo huu.
Masikioni utamu, mdomoni utamu, hadi huku kwenye chumvi napo utamu.
Ulikuwa utamu mtupu!!!
Madam kuona mashambulizi yamezidi na yeye akajaribu kupambana…safari hii kidogo aniue huyu dada.
Ebwana!! Umewahi kupulizwa korodani wewe!! Zipulizwe halafu zimezwe kitaalamu…….
Unaweza kuzirai!!! Na usiombe upate mtaalamu wa kuzipuliza na kunyonya unaweza kujifia kitandani ukapatia watu kesi zisizowahusu.
Madam akaninyonya, sijui na mimi nilizungumza kinyakyusa?? Sikumbuki kwa kweli…..
Baada ya hapo hapakuwa na jingine ulikuwa wakati wa kuwarudisha wazungu ulaya ili nibaki huru!!
Kibaba na mama!!! Staili ya kuwarudisha wazungu wa kwanza wenye kiherehere!!!
Nikajikunja na kuushika mguu wake nikaunyanyua juu..nikaingia golini. Haya nafungaje sasa…..
Huyu nakuna kushoto sana ambapo wasichana wengi wamezoea kwa sababu mashine nyingi za wanaume huwa zimeegemea kushoto…..nikishamkuna kushoto alipozoea nahamia kulia ambapo najua hajawahi kukunwa vizuri.
Kweli nikaanzia kushoto, nikakwangua kama mara ishirini, nilipohamia kulia. Madame akapiga kelele za utamu kwa nguvu. Nikatamani kumziba mdomo lakini nikajua huo ni utamu umempagawisha!!! Na mimi lazima niwatoe wazungu ndo nitajua hayo mengine.
Nikamkunja zaidi huku nikizidi kukuna kulia……..nikawakontrol wazungu wasitoke ili aendelee kufaidi.
“Baby iam coming…..iam coming baby…..” nikamsikia akilalamika kimombo, haya huwa nayasoma gazetini huko nikajua kuwa amekaribia mshindo.
“Jamani ankoo!!” nikamsikia akizidi kulalamika
Nikazidi kupampu kwa juhudi ili asinisahau tena maishani mwake.
Ile wazungu wanataka kuja na yeye akajipandisha juu zaidi. Akanisukuma kwa nguvu.
He!! Mara nikajikuta hewani, nikataka kurudi chini ikawa ngumu.
Mara macho yakafumbuka, nilikuwa nimeanguka na kiti changu darasani, wanafunzi walikuwa wanapiga kelele.
Wengine wakinizomea, wengine wakinisikitikia,,,,,, ile kujitazama suruali yangu ilikuwa imevimba haswa na wasichana walikuwa wakinitazama.
“Joshua yaani unaota mchana kweupe hivi mdogo wangu?? Tena unakoroma kama kondoo looh!!” lilikuwa swali kutoka kwa madam Jesca. Ebwana eeeh!! Ilikuwa aibu, kichwa kikaanza kuuma nikatambua kuwa nilijibamiza vibaya nilipoanguka. Na mawalimu niliyemuota nd’o kilikuwa kipindi chake sasa!! KISWAHILI

Looh!! Yaani utamu wote ule kumbe nilikuwa naota Joshua mimi aaargh!!!
Japokuwa ilikuwa ndoto lakini ule ulikuwa UTAMU MTUPU…..
Sema ilikuwa noma sana maana nilitaniwa sana hadi shule nzima ikajua kuwa niliota nafanya mapenzi nikashtuka nishajimwagia tayari!!!

ITAENDELEAAA USIKOSE KESHO

KUANZIA SEHEMU YA 2 AMEANDIKA MoonBoy

Special Thanks kwa George Iron Mosenya

Mtunzi wa simulizi hii ya JAMANI ANKO
 
MICHIRIZI YA DAMU -12

“Mleteni lakini nitamfanyia baada ya saa tano,” alisema Dk. Watson.
“Haina shida.”
Hawakutaka kubaki nyumbani hapo, haraka sana akachukuliwa na kupelekwa katika hospitali hiyo. Muda wote huo Fareed alikuwa na hofu moyoni mwake, alihisi kwamba huo ndiyo ulikuwa mwisho wake.
Alikuwa na mzigo mkubwa wa madawa ya kulevya tumboni mwake, wakati mwingine alihisi kwamba kete zile zingeweza kupasuka na madawa hayo kusambaa mwilini mwake na kumuua.
Hakutaka kuona hilo likitokea, alilia kimyakimya, kwake, Belleck alionekana kuwa mwanaume katili aliyeithamini fedha yake kuliko hata uhai wa watu wengine. Huyo hakuwa mwanaume aliyestahili kuwa hai, alitakiwa kuuawa kwani kwa kutumia fedha zake alipata nafasi ya kuwafanyia watu wengine matendo mabaya ya kikatili.
“Mungu nisaidie! Nikitoka katika hili, nitakukabidhi maisha yangu!” alisema Fareed huku gari likiwa safarini kuelekea hospitalini huko.
Hawakuchukua muda mrefu wakafika hospitalini hapo ambapo moja kwa moja akachukuliwa na kupelekwa katika chumba maalumu kwa ajili ya mapumziko. Hapo alipokuwa, muda wote mwili wake ulikuwa ukimtetemeka, aliogopa, mbele yake alikiona kifo kitu ambacho hakutaka kukiona kikitokea mpaka pale atakapokamilisha ndoto zake.
“Mbona unakuwa na hofu sana?” aliuliza mwanaume mmoja.
“Hapana! Sina hofu!”
“Usiogope. Ni suala la kuchukua mzigo wetu na wewe tutakuruhusu kuondoka,” alisema mwanaume huyo, japokuwa alijitahidi kumuondoa hofu Fareed lakini hakuonekana kuwa na amani hata kidogo.
Baada ya dakika kadhaa, daktari huyo akafika mahali hapo, akamwangalia fareed, uso wake ulikuwa na maswali mengi juu ya jinsi aliyokuwa nayo mtu aliyeletwa hospitalini kwake siku hiyo.
“Huyu ni mwanamke au mwanaume?” aliuliza Dk. Watson.
“Mwanaume!”
“Hapana! Mbona kama mwanamke?”
“Ni mwanaume tata!”
“Hapo sawa. Tena kwa sababu ana tabia chafu hivyo, nitamfanyia upasuaji bila ganzi,” alisema daktari huyo.
Baada ya dakika kadhaa, akamwambia Fareed aingie katika chumba kingine kabisa. Akasimama na kuelekea katika chumba hicho ambacho kwa kukiangalia tu wala usingejiuliza maswali mengi juu ya kazi iliyokuwa ikifanyika ndani ya chumba hicho.
Kulikuwa na vifaa vingi vya kufanyia upasuaji, kilitisha na kila wakati Fareed alipokuwa akikiangalia mapigo yake ya moyo yalidunda kwa nguvu, aliogopa mno na kuuona mwisho wake ukiwa umekaribia.
“Usiwe na hofu, chukua maji kwanza unywe,” alisema daktari huyo huku akimpa maji ambayo aliyawekea dawa ya usingizi. Fareed hakujua, akayapokea maji hayo na kunywa harakaharaka, baada ya dakika mbili tu, macho yake yakawa mazito na hapohapo kulala kwenye kiti alichokuwepo. Akanyanyuliwa na kulazwa kwenye kitanda cha kufanyia upasuaji tayari kwa kufanya kazi hiyo.
****
“Mchungaji! Mimi ni mkosaji! Nimekuja kutubu dhambi zangu! Nimekuwa nikimtumikia shetani kwa kipindi kirefu katika maisha yangu. Nimemtenda Mungu wangu dhambi! Nimekuja kutubu mchungaji,” alisikika mtu mmoja akimwambia padri aliyekuwa kwenye chumba kidogo cha kuungama dhambi.
“Umefanya nini mtoto wa Mungu?” aliuliza padri huyo.
“Nimezini kwa kipindi chote cha maisha yangu, nimekuwa na tamaa ya fedha, nimekuwa nikimtumikia shetani kwa kila aina ya uchafu. Nimechoka, ninataka kuokoka mchungaji, sitaki kumtumikia tena shetani,” alisikika mtu huyo akizungumza na padri huyo ambaye muda wote alikuwa akionyesha ishara ya msalaba.
“Mungu atakusamehe dhambi zako. Amesema kwamba hata kama dhambi zako zinakuwa nyekundu kama damu, atazisafisha na kuwa nyeupe kama theluji,” alisema padri huyo.
****
“What is wrong with her?” (nini kimemtokea?)
“Asthma.” (pumu)
“Where is her inhler?” (kifaa chake cha kuwekea dawa ya pumu kipo wapi?) alisikika mwanamke mmoja akiuliza.
“Here it is but there is nothing in it!” (hiki hapa lakini ndani hakuna kitu) alisikika msichana mmoja akijibu.
“What?” (nini?)
Kila mmoja ndani ya nyumba alichanganyikiwa, mtoto Kyle alikuwa amebanwa na pumu ambayo ilikuwa ikimsumbua kila siku. Mama yake na mfanyakazi wa ndani walichanganyikiwa, walijaribu kuangalia dawa ya kumpa iliyokuwa kwenye kifaa kidogo kinachojulikana kama inhler ambacho alitakiwa kuivuta kwa mdomo dawa hiyo lakini kitu cha kushangaza kabisa, kifaa hicho hakikuwa na dawa yoyote ile.
Waliuona mwisho wa Kyle, alikuwa akilalamika, alikipandisha kifua chake juu kama mtu aliyetaka kukata roho, alipumua juu juu kwa tabu sana kiasi kwamba kila mmoja alikuwa na uhakika kwamba binti yao angekufa usiku huo.
Mama yake hakutaka kuchelewa, haraka sana akachukua simu yake na kumpigia mume wake, Dk. Watson ambaye alikuwa ni daktari kwa lengo la kumwambia kile kilichokuwa kikiendelea kwa mtoto wao, Kyle.
“Unasemaje?” alisikika daktari huyo akiuliza kutoka upande wa pili wa simu.
“Kyle anakufa! Njoo na dawa haraka sana.”
“Dawa zake zipo wapi?”
“Zimekwisha…” alijibu mwanamke huyo na kukata simu.
Kyle hakuwa kwenye hali nzuri hata mara moja, kadiri dakika zilivyozidi kwenda mbele ndivyo hali yake ilivyozidi kuwa mbaya kiasi kwamba kila mmoja ndani ya nyumba hiyo alijua kwamba siku hiyo ndiyo ilikuwa siku ya mwisho kwa msichana huyo kuishi duniani.
Upande wa pili Dk. Watson ambaye alitakiwa kumpasua Fareed na kutoa kete za madawa ya kulevya alichanganyikiwa kupita kawaida. Alimuandaa mwanaume huyo kitandani, alimnywesha maji yaliyokuwa na dawa ya usingizi na alipotaka kumfanyia upasuaji akapokea simu hiyo kutoka kwa mkewe, simu ambayo ilimtisha kupita kawaida.
Hakutaka kubaki hospitalini hapo, mtoto wake, Kyle alikuwa kila kitu katika maisha yake, alimpenda kuliko kitu chochote kile, kuipuuzia simu ile na kuendelea kufanya mambo yake kwake lilionekana kuwa jambo la kijinga ambalo hakuwahi kulifanya katika maisha yake yote, alichoamua ni kuwaambia vijana waliomleta Fareed kwamba asingeweza kumpasua kwani kulikuwa na simu muhimu aliyokuwa amepigiwa.
“Ila si mara moja tu dokta?” aliuliza kijana mmoja.
“Hapana! Hii kazi inahitaji umakini sana kwani unaweza kumpasua ilimradi tu ukazipasua kete hizo na kupata hasara,” alisema daktari huyo, akawaaga na kuwaambia kwamba angerudi baada ya kumnunulia mtoto wake dawa iliyokuwa ikihitajika.
“Kwa hiyo huyu tumfanyaje?”
“Mwacheni humohumo nitakuja!”
“Sawa.”
Vijana wale hawakuwa na neno lolote lile, walichokijua ni kwamba Fareed alikuwa salama ndani ya chumba kile, wakabaki mahali hapo huku wakipiga stori kwani hawakutakiwa kuondoka mahali hapo mpaka daktari huyo atakaporudi na kufanya kile alichotakiwa kufanya.
Muda ukazidi kwenda mbele, dakika zilikatika lakini Dk. Watson hakuwa amerudi hospitalini hapo kitu kilichowafanya kuwa na wasiwasi kwamba inawezekana daktari huyo aliwakimbia.
Wakampigia simu, akawaambia kwamba angekuja kwani hali ambayo alimkuta nayo mtoto wake haikuwa nzuri, ilikuwa ni lazima akae naye kidogo na kurudi hospitalini hapo kuendelea na kazi.
Lilipofika saa moja, Fareed akashtuka kutoka katika usingizi aliokuwa nao. Kitu cha kwanza kabisa baada ya kuyafumbua macho yake ni kuangalia mahali alipokuwa.
Aligundua kwamba palikuwa ni hospitalini, hakukumbuka ni kwa namna gani alifika mahali hapo lakini baada ya kukaa na kukumbuka kwa sekunde kadhaa, akakumbuka kila kitu kilichokuwa kimetokea.
Akakurupuka kutoka kitandani pale, ile haikuwa sehemu salama, alijua fika kwamba kama asingeondoka ndani ya chumba hicho ilikuwa ni lazima kupasuliwa tumbo lake na kutolewa kete za madawa ya kulevya zilizokuwa tumboni mwake.
Hakutaka kuona hilo likitokea, ilikuwa ni lazima kuondoka hospitalini hapo, akateremka kutoka kitandani, akaufuata mlango lakini hata kabla hajaufungua, akawasikia watu wakiwa wanaongea kwa nje.
“Mmh!” alijikuta akiguna.
Hakujua ni kitu gani alitakiwa kufanya, akarudi kitandani pale na kutulia, kichwa chake kilimuuma, alitamani hata kupitia katika mlango mwingine lakini kitu kibaya kwake ni kwamba hakukuwa na mlango wowote zaidi ya ule waliokuwa wakiutumia.
Minong’ono ile ya watu bado iliendelea kusikika kutoka nje ya chumba kile, aliogopa, kwa jinsi alivyoona, ilikuwa ni lazima watu hao waingie ndani kumwangalia kwani hakujua daktari alikuwa mahali gani.
Alichokifanya ni kuusogelea mlango na kisha kuufunga kwa ndani, hakutaka mtu yeyoite aingie ndani ya chumba kile na kumkamata, alijua kwamba angekufa, ila hakuwa tayari kuona akifa siku hiyo.
“Ni lazima nifanye kitu!” alisema lakini hata kabla hajafanya kitu hicho, akasikia kitasa cha mlango kikianza kutekenywa kwa ajili ya kufunguliwa lakini haukufunguka kitu kilichowafanya kuanza kuugonga kwa lengo la kuuvunja.
****
Belleck alikuwa ametulia, masikio yake yalikuwa kwenye simu yake, alitaka kufahamu kile kilichokuwa kikiendelea nchini Ufaransa, alitaka kujua kama tayari Fareed alifanyiwa upasuaji na kutolewa kwa kete za madawa ya kulevya au kitu hicho hakikuwa kimefanyika.
Alisubiri sana, tangu Fareed afikishwe ndani ya hospitali, aliambiwa kwamba angepigiwa simu na kupewa kila kitu kilichokuwa kimeendelea lakini mpaka saa moja na nusu bado hakuwa ametaarifiwa kitu chochote kile.
Alichanganyikiwa, hakujua ni kitu gani kilitokea, hakutaka kuvumilia, hapohapo akachukua simu yake na kupiga upande wa pili, simu ilipopokelewa, akaambiwa kila kitu kilichokuwa kimetokea.
“Kwa hiyo Dk. Wtason hayupo?” aliuliza huku akionekana kushtuka.
“Ndiyo mkuu!”
“Atatuchelesha, ingieni ndani na mmuue kisha zitoeni hizo kete, hakuna haja ya kuendelea kumsubiri muda wote,” alisema Belleck na kukata simu.
Ilikuwa ni amri, vijana hao hawakutaka kuendelea kumsubiri daktari huyo, walitaka kufanya kile walichokuwa wameambiwa. Fareed alikuwa ndani ya chumba kile, haikuwa kazi kubwa kuingia na kumuua kisha kulipasua tumbo lake na kuzitoa kete alizokuwa amezimeza.
Wakaufuata mlango kwa lengo la kuufungua, haukufunguka, ulionekana kufungwa kwa ndani. Kwa kuwa hiyo haikuwa hospitali kubwa sana, hakukuwa na wagonjwa wengi wala madaktari hivyo kuanza kuupiga mlango huo kwa lengo la kuuvunja na kuingia, tayari walipewa agizo kwamba mtu huyo auawe hivyo hawakuwa na msalie mtume.
****
“What are you doing?” (mnafanya nini?) lilisikika swali kutoka kwa mwanamke aliyekuwa nyuma ya watu hao waliokuwa wakijaribu kuuvunja mlango ule wa humba alichokuwemo Fareed.
Vijana wa Belleck wakageuka nyuma na kumwangalia mtu aliyewauliza swali hilo. Alikuwa nesi wa hospitali hiyo, kibonge, aliyevalia gauni refu jeupe huku kichwani akiwa na kikofia kidogo cha kilichoonesha kwamba alikuwa muuguzi.
Bastola zilikuwa mikononi mwao, kitendo cha mwanamke huyo kuziona bastola hizo, hakutaka kubaki mahali hapo, akaanza kukimbia huku akiwaita polisi kwani alijua kwamba watu hao hawakuwa watu wazuri hata mara moja.
Ilikuwa ni hatari kwao, walijua kwamba hospitalini hapo kulikuwa na polisi, walijua fika kwamba walimiliki bastola zile kimagendo, wakaogopa na kuhisi kwamba kungekuwa na jambo baya, walichokifanya ni kukimbia mahali hapo kwenda kujificha kwani kama wangekutwa na polisi waliokuwa wakiitwa, maisha yao yangekuwa hatarini.
Fareed alikuwa ndani ya chumba kile, hakujua ni kitu gani alitakiwa kufanya, alitamani hata kama kungekuwa na mlango wa kuingia darini, aingie na kujificha huko lakini alipoangalia, hakukuwa na malngo huo.
Bado kitasa kiliendelea kutekenywa, mule ndani alikuwa akiogopa mno, alikosa amani na muda wowote ule alikiona kifo chake kikiwa mbele yake. Wakati akijifikiria ni kitu gani alitakiwa kufanya ndipo akasikia sauti ya mwanamke yule ikiwauliza wanaume hao, badala ya kujibu swali waliloulizwa, wakaanza kukimbia huku mwanamke huyo akiwaita polisi.
Ghafla, ukimya ukatawala mahali hapo, akaona nafuu moyoni mwake, hakutaka kubaki ndani, aliamini kwamba hakukuwa na mtu yeyote nje ya chumba hicho hivyo alichokifanya ni kuchukua mkoba wake uliokuwa na nyaraka zake za kusafiria na kuufungua mlango,akachungulia nje ya chumba kile, kweli hakukuwa na mtu hivyo kuanza kutoka.
Alifanikiwa, hakukuwa na hatari yoyote ile, hakutaka kusubiri, alijua kabisa kwamba kuendelea kusubiri mahali hapo ingekuwa hatari kwa maisha yake hivyo akaondoka kwa kupitia mlango mwingine, kwani kama asingefanya hivyo ilikuwa ni lazima kuuawa mahali hapo.
Akaondoka mpaka nje ya hospitali ile. Akaanza kutembea kuelekea sehemu iliyokuwa na magari mengi yaliyokuwa yamepaki. Alikuwa akijifichaficha kwani mahali hapo hakukuonekana kuwa na amani kwa maisha yake.
Akafika sehemu moja iliyokuwa na kiukuta na kutulia hapo. Macho yake alikuwa ameyaelekezea kule kulipokuwa na mlango wa kutokea katika jengo la hospitali hiyo, akawaona wale wanaume wawili wakiwa sehemu wamesimama, alijua dhahiri kwamba walikuwa wakimsubiri yeye.
Hakutoka mahali hapo, aliendelea kusimama na baada ya dakika kadhaa akamuona Dk. Watson akiteremka kutoka katika gari lililoingia sekunde chache, alipowaona wale vijana, akawafuata, akazungumza nao kwa sekunde kumi, ghafla wote wakaanza kukimbia kuelekea ndani.
Alijua fika kwamba walimpa taarifa kuhusu yeye, hakutaka kusubiri mahali hapo, haraka sana akachomoka pale alipokuwa na kuelekea nje ya hospitali hiyo ambapo baada ya kufika huko, akachukua teksi na kuondoka mahali hapo.
***
Dk. Watson na vijana wale wakafika mpaka ndani ya chumba kile, walishtuka, hakukuwa na mtu yeyote yule, Fareed ambaye walimuacha humo hakuwepo.
Walichanganyikiwa, hawakuamini kile walichokuwa wamekikuta. Wakaanza kumtafuta kila kona ndani ya hospitali hiyo lakini mtu huyo hakuonekana. Hawakujua ni kitu gani walitakiwa kufanya, hawakujua mahali alipokuwa ameelekea, hawakujua ni jinsi gani wangemwambia bosi wao, Belleck ambaye alikuwa akisubiri taarifa ya kifo cha Fareed kwa hamu kubwa.
“Yupo wapi?” aliuliza Dk. Watson.
“Hatujui! Ila tulimuacha humu ndani!”
“Sasa yupo wapi?”
“Hatujui!”
Itaendelea kesho
Lyion Lee ukuje hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom