Salama mpenzi waendeleajeMy mke, za jioni
Niko poa kabisa, ndio narudi nyumbani baada ya pilikapilika za kaziSalama mpenzi waendeleaje
Pole sana baba watoto,umekuwa na pilika kweli wiki hiiNiko poa kabisa, ndio narudi nyumbani baada ya pilikapilika za kazi
AmeeenNa kila mtu na aseme Aaaaaaaaaamen
AaaamenNa kila mtu na aseme Aaaaaaaaaamen
Shem sina cha kusema zaidi kukushukuru kwa keki na suprises zako kwa leo Mungu azidi kukutunza na kukulinda shem lake ....shuny le boss asante mmeninyoosha na baba d ....