...na tukishindwa kulipa tutajiunga na member wanaodaiwa madeni yasiyoweza kulipika so tutaomba deni la kilaji lifutwe, au wakiweka masharti tunamweka rehani aliyekunywa kilaji cha baridiShunie kula kitu hiko.. agiza na kilaji barid tutalipa hata mwakani maana hata serikali yetu inadaiwa ndio itakuwa sisi bhana..
Baraka zilizobarikiwa kwa baraka ziwe juu yako....kwa kuwa umeipitisha basi tayari wimbo ushapandishwa jukwaani bila maneno ya shombo
Kwa kumuweka bondi ndugu yangu hapana, mafunzo ya kung fu yatachukua nafasi, kinywaji tunakunywa halafu tunaondoka ki boro yeung...na tukishindwa kulipa tutajiunga na member wanaodaiwa madeni yasiyoweza kulipika so tutaomba deni la kilaji lifutwe, au wakiweka masharti tunamweka rehani aliyekunywa kilaji cha baridi
Mafua na kichwa makaMachache kama hutajali
Maka me roho sitoki kabisa yaanTeh teh teh.. usimtoe roho ndugu yangu aisee..
Ahahhaa lile somo liliniingia sana mpenzi wako akikuonyesha upendo na we mpende vile vile na sio unampenda wewe tu yeye hana time na wewe ile siku ulinijenga sanaSomo langu ulilielewa sana..
Mimi kama katibu wa kf kwenye masuala ya mabandiko na mapost.. napitisha post ya wimbo wa yawa..
Aisee obe muwekee ndugu yangu hicho kitu akonge moyo wake.
Mie sio pik pik posta sifikishi salam za yeyote...usiasahau kufikisha salamu zangu toka moyoni , yaani from me to her via you
Asanteeee makaShunie kula kitu hiko.. agiza na kilaji barid tutalipa hata mwakani maana hata serikali yetu inadaiwa ndio itakuwa sisi bhana..
Ongeza kilaji...Maka me roho sitoki kabisa yaan
Vizuri na sahihi..Ahahhaa lile somo liliniingia sana mpenzi wako akikuonyesha upendo na we mpende vile vile na sio unampenda wewe tu yeye hana time na wewe ile siku ulinijenga sana
Vizuri na sahihi..
Ita muhudumu.
Kwani tunalipa, we subiri uone mchezo....sasa muhudumu alete bill, mnywaji kalewa asije akasema keshalipa tayari
Mh kaka hiyo avatar!!Habari zenu wapendwa...?
Kwahiyo unataka kunambia kuwa kuna namba 3,2,4...na kuendelea?!.....nawaangalia tu anko wangu Lyon Lee mnavyomshambulia mpenzi wangu namba moja, wangu mwenyewe husna muba
Yaani kwa maneno yenu kuwa mtamgawa eti hadi kwa kisado cha mahindi basi mimi ndo midadi inanipanda ya kumpenda yeye
Kwani tunalipa, we subiri uone mchezo.
Kwahiyo unataka kunambia kuwa kuna namba 3,2,4...na kuendelea?!
We unadhani tutafanyaje ndugu yangu na hali yenyewe hii ya mzee wa nongwa, mzee wa huwez kunijibu mimi kama hvyo..Ha hahaha, tutafanya mchezo kama ule wa anko wangu juzi kati kakimbia na kuwaachia vumbi wachoma mishikaki wa pale vigwaza
Muziki: Kumbuka Mazuri Utabasamu
Makapuku hiki si kipengele cha siku zote ulichokizoea toka kwangu kuja kwako yaani kama Chakachaka, from me to you. Kipengele chenyewe kitakuja katika muda wake wa kawaida maana mimi kuwahi sijui na kuchelewa sio kwamba sijafika.
Tumeumbwa na hulka moja ambayo si nzuri kiafya ya roho na mwili, mara nyingi huwa tunapenda kukumbuka mambo ya jana na juzi ambayo yalitunyong'onyeza kwa kuwa tu leo na muda huu tumejikwaa kidogo. si wanasemaga majaribu ni mtaji na dhahabu ili iwe dhahabu lazima ipitishwe kwenye moto na kwa msemo wa anko wangu pombe nzuri lazima ichache kwanza na maziwa yakichacha yanakuwa mtindi ambao mimi naupenda sana. Mimi na mtindi na shanga kwa kweli ninapenda hadi natamani kumpa rushwa muadhini anirushe mida ya kuamka.
Muziki huu umeombwa na aunt yangu mnayemfahamu Shunie ambaye ni mke anayejulikana wa anko wangu. Kwa sasa anapambana ana hali yake na akisikiza muziki huu atatabasamu na kuachana na kulamba ndimu
We unadhani tutafanyaje ndugu yangu na hali yenyewe hii ya mzee wa nongwa, mzee wa huwez kunijibu mimi kama hvyo..
...sasa muhudumu alete bill, mnywaji kalewa asije akasema keshalipa tayari