Nataka jamaan tena zikuje mbili kwa mpigo za baridiiiiii...okay, mimi wala sikubishii, sasa bado unataka hii kinywaji au umeghairi? Ijumaa leo usichelewechelewe sana, nina ratiba nyingi za kijamii na kibaiolojia
Woiiiiiii...bora umekuja mpenzi wangu. Walishaanza uzushi kuniita mimi mzee, labda mzee wa vigodoro na makirikiri
Nataka jamaan tena zikuje mbili kwa mpigo za baridiiiiiiila sitaki mama akute hizi post jaman
...bora umekuja mpenzi wangu. Walishaanza uzushi kuniita mimi mzee, labda mzee wa vigodoro na makirikiri
Mfyuuuuu mwanaume suruali au mwanaume furushi...sawa, hatazikuta. Sasa hebu tuma kabisa hela nizinunue hapa. Nakuletea zile heineken za baridi hadi zinatoa jasho
Nimesema sio mzee banaa, mbona ni kabishi weweeToka lini mzee wako akalipia kinywaji cha mtu
Lakini analipia mwenyewe
....kwani kuna jingine zaidi ya hilo mama, si anakunywa yeye?
Ungekuwa unakunywa wewe ningekuletea kreti zima, lakini ndo hivyo tena mpenzi wangu wewe shetani wa bia hakupendi kabisa, wewe zako maji na mate
Mfyuuuuu mwanaume suruali au mwanaume furushi
...sio mwanaume furushi, ni kifurushi maana mpenzi wangu hunibeba nabebeka na akinibeba nakunja miguu
Hovyoooo
Tafadhali binamu hujatutolea ada kwa rasi simba cio mambo ya kuleteana shida hapa
Namshukuru Mungu mimi mzimaAsante kwa kuniombea, baraka ziwe nawe pia. Hujambo lakini BH
...nishakuwa mzee tayari eeh, ngoja Husna wangu aje hapa akujibu na ataishia hapa kusoma, sentensi inayofuata imejiandika
...au muulize BH kama mimi ni mzee kivile mimi ni kijana sema nina mambo ya kizee
Uzuri wa hii, ukifika wakati wa kuifua unaifua kwa adabu sana, sio kujidau unajua kusugua na kupakaa sabuni kama unasugua kola