Makapuku Forum

Makapuku Forum

1911 - Joseph Pulitzer, mhariri wa magazeti Mmarekani, na mwanzishaji wa Tuzo ya Pulitzer anafariki
 
ENDELEA........



Kijana sheby haamini kwa kuiona hali ya rose jinsi ilivyokuwa,... Mtoto wa watu alikuwa akitoa darasa ili wasichana hao wapate kazi katika kampuni yao, lakini kumbe wasichana hao wana hisia tofauti na kijana huyo, japokuwa ni kweli wana shida na kazi lakini mapenzi pia yana nafasi yake na hayahitaji bughuza hata kidogo, hivyo wadada walijikuta tu wanampenda kijana huyo bila kutegemea,... Na mwanaume ni mwanaume tu hata iweje...
"sasa unaona hapa jinsi ya ku..... "
Laaaaaa Haulaaaaaa, Sheby alistop kuongea baada ya kumwona Rose akiwa katika hali ya utofauti na mwanzo, Huezi amini mwanadada rose alikibinua kifua chake, yaani aliyatoa nje kidogo matiti yake walio madogo, yaliomfanya kijana sheby kuacha kuongea alichokuwa akiongea, kwani msisimko aliupata kama mtoto wa kiume,...
Sasa rose alijishtukia na kujihisi kiwa kazidisha mbwembwe nyingi sana za mitego juu ya kijana huyo,.. Hivyo rose aliyarudisha matiti yake, kitendo kilichomfanya sheby kutikisa kichwa kama mtu aliolamba limau,... Pale pale sheby alifunga laptop yake na kuaga kuwa anaondoka,
"heeeeee boss kwani lisaa limeisha"
Aliuliza rose baada ya kumuona boss wake anakusanya vitu na kutaka kuondoka
"aahhh najihisi kuchoka sana hivyo naomba niondoke kwa leo"
Sheby aliongea hivyo huku akipiga hatua ya kuondoka
"sasa mbona humuagi mary"
"aahh utaniagia tu"
Aliongea kijana sheby kisha akafungua mlango wa gari yake na kuondoka zake..
Wakati huo mary yupo bafuni na hisia zake za kuhisi kama vile anaoga na sheby, na wakati huo alikuwa anajua kuwa rose anamseidia kumtongozea, mana mary anashindwa kufanya hivyo japo ana uzuri wa kuweza kumpagawisha mwanaume,.. Akiwa bafuni ghafla mlango uligongwa
"wewe toka sasa heee"
Aliongea rose huku akisukuma mlango kana kwamba alijua yupo bafuni, Mary alivaa nguo haraka haraka, mana alishajisuuza sema alikuwa anawaza kama vile yupo na kijana sheby, kumbe alikuwa peke yake bafuni,..
"weeee dada rose boss umemuacha na nani kule ndani"
Aliongea mary bila kujua kiwa boss wao alishaondoka muda tu
"heeee kama ni nyumbani kwao keshafika"
"we rose acha utani eti"
"Aaaaahhhhhhh.... Kaondoka muda tu"
"ok vipi, kimeeleweka"
Mary aliuliza kuwa tayari sheby kakubali au?
"waapi, boy mwenyewe mgumuu kama nini yani"
Aliongea rose huku akiwa anacheka cheka
"kwani ulimuambiaje"
"mi nilimuambia mary ana maongezi na wewe, ili aniulize ni maongezi gani hayo nami nianze kuropoka... Lakini kakaa kimya yeye na kompyuta tuuu"
"jamani dada rooose"
"afu we mary siku hizi unaniita dada ili nikutongozee yule boy si ndio eee"
"lakini ww si mkubwa kwangu wewe"
"hata kama, lakini naona unanizeesha tuuu ebu tuachane na hayo"
"jamani rose, kwahio hutaki tena kuniseidia"
 
"sio kuwa staki... Ila boy ni mgumu"
"jaribu hata kamwisho tuuu"
"ok poa nitakujaribia tena siku nyingine"
Rose aliongea hivyo huku moyoni mwake akisema kuwa
"heee utasubiri sana nikuseidie,.. Kwaio mie ndio umeniona malaya wa kuwatongozea watu... Ukizubaa atakuwa shem wako bibie"
Aliongea hivyo lakini ni katika moyo wake, huku mary alikuwa na furaha baada ya kuambiwa kuwa ataseidiwa kwa mara nyingine tena, bila kujuwa kuwa rose yeye amesha mgeuka rafiki yake kipenzi....

Kesho yake ikiwa ni mida ya saa saba hivi mchana kweupeee,...
Akiwa yupo nyumbani kwa akina zai, mama zai alishangaa sana kijana huyo kuja katika hali ya kimaskini ingali kwao ni tajiri na siri ya kijana huyo kuwa ni tajiri anaijua mama zai pamoja na zainabu, Sasa sheby kaja na bajaji hapo nyumbani na wakati huo mabegi ya zaituni yalikuwa zikitolewa na kupakiwa katika bajaji hio, mwisho na zaituni alipakia, wakati huo zainabu alikuwa hayupo maeneo ya nyumbani hivyo hatojua ndugu yake kaenda wapi,.. Sheby alimpatia mama huyo kiasi kidogo cha pesa, kisha bajaji ikaondoka, mama zaituni hakutaka kuipoteza tena bahati ya mtoto wake kutaka kuolewa, alikubali kwa moyo wote mtoto wake akaishi kwa mume na wala hakutaka kuuliza ni wapi mana mwanaume anajiweza kimaisha, lakini alishangaa sana kumuona sheby kaja kama maskini, yaani hata msukuma mkokoteni ana afadhali ya mavazi kuliko alivyovaa kijana sheby.. Ila hatujui sheby ana shida gani juu ya hilo, na hatujui nia yake ni ipi ya kuwa katika madhingira hayo ya kimaskini ingali ni mtoto wa kitajiri tena tajiri wa uhakika....

Kwakuwa kijana kijana huyo alikuwa bado anaishi na wazazi wake hivyo hawezi kumpeleka zaituni nyumbani kwao na badala yake anampeleka katika kile chumba ambacho alipangisha kule uswahilini kabisa yani, tena nyumba yenyewe ni nyumba ya miti mabati yenyewe hayako vizuri, ukuta hauko vizuri lakini kaamua kumleta huku huku mtoto wa watu, na uwezo wa kupangisha hata jumba la kufahati anao, yaani hata akitaka kujenga nyimba sasa hivi anao,.. Lakini sijui ni kwanini kamleta mtoto wa watu katika nyumba hio tena ingali ni kipofu haoni..
 
karibu ndani... Mi bado naishi maisha magumu sana"
Aliongea kijana huyo huku akimuingiza zaituni ndani ya chumba hicho,.. Zumuni lake haswa ni nini mana mtoto wa watu ni kipofu huyu kama ni kuona haoni sasa kwanini kamleta huku...
Zaituni aliingia ndani ya nyumba hio, yaani hio nyumba ni mara kumi ya nyumbani kwao huyu zaituni kuliko hapo,.. Lakini sasa kijana sheby alipangisha chumba kikiwa hakina viti, lakini sasa hivi kina vitu lakini vimechakaa, makochi yamechakaa, kitanda chenyewe kidogo afu kigodoro chembamba mno.. Kila kitu kipo ndoo za maji masafuria yaliotumika, hata sijui kayapatia wapi, sheby alitoka nje mpaka kwa fundi cherehani ambae ni jirani yake aitwaye shadya,...
"Samahani dada eti bafu ni lipi hapa"
"lipo pale"
Mungu wangu hilo bafu ni la matofali lakini juu halikuwa na paa la bati wala nini yaani kilikuwa wazi kabisaa
"sasa shadi, kama nilivyokwambia, nitajitahidi kila siku nikulipe lakini naomba ukipika, umletee mchumba wangu, na pia uwe karibu nae sana"
"we usijali kikubwa ni kwamba sio mbishi, mana vipofu wengi huwa ni wabishi sana"
"No, No, huyo sio mbishi."
"sawa basi, lakini sasa kwenye swala la kuoga itakuwaje na kwenda msalani"
"aahhhh kwenye swala la kuoga... Nadhani nitalifanya mimi, ila uwani unaweza kumpeleka na ukamuekea maji karibu na pia uhakikishe kakaa ndio uondoke, vingine atafanya mwenyewe"
"mmmhhhhh huu mtahani huu lakini we kaka"
"naomba niasidie dada yangu,.. Nitajitahidi kuuza viazi nikupatie hata elfu 10 kila siku ya mungu, na pia viazi nitawapatia mpike chakula shadi"
"ok sawa basi.. Kwa sasa nataka nipike,.. Kwanini usimuogeshe kabisa ndio uondoke"
"sawa wacha nifanye hivyo basi"
Sheby alitoka hapo na kuingia ndani, ambako ndipo alipomuacha zaituni
"Samahani, naweza kwenda kukuogesha"
Alimuuliza kwanza kabla hajamwamsha katika kochi,...
"hhhmmmmmm"
Aliguna zaituni huku akiwa kama anataka afu hataki
"lakini, mbona kama nitakupa kazi hapa.... Kwanini usingeniacha nyumbani"
"usijali mke wangu... Kuna dada atakuwa akikuseidia mambo madogo madogo ila kukuogesha kasema hawezi"
"hhhhhmmm sawa... Lakini we si mwanaume rijali jamani"
"kwani mi nani wako"
"mume wangu mtarajiwa"
"kwanini unionee aibu"
"sawa nimekubali"
"afu, mimi siwezi kukugusa... Nimekula kiapo, mpaka utakapokuwa mke wangu rasmi"
"hhhhmmmm nyie vijana nyie waongo kama nini"
 
usijali, sio wote ni waongo"
Basi sheby alibandika maji haraka haraka yakapata moto, aliyapoza kisha akaenda nae bafuni,.. Kitimu timu ni pale kwenye kumvua nguo.... Maskini kijana sheby alikuwa akiteseka tu kwa maumivu, mana mtoto zaituni alikuwa ni msichana aliopewa shepu ya kuvutia,.. Ukiangalia figa lake, yaani hata chupi yake ilikuwa haimuenei vizuri kutokana na shepu yake ilivyokuwa nzuri, yaani umbo namba nane lakini sio kibwa, kifua kidogo kidogo kimechongoka, sheby alijikuta anamkagua mtoto wa watu, huku zaituni anajua anapozewa maji kumbe sheby kamtolea macho kweli kweli... Zoezi la kumuogesha lilianza vizuri na likaisha vizuri... Walipofika ndani sheby alifungua begi lingine ili kuchukuwa mafuta ya kupaka.. Sheby hakupenda mchumba wake aendelee kupaka mafuta ya baby care,.. Lakini alimpaka tu hivyo hivyo ila aliona hio ni mara ya mwisho kumpaka mafuta hayo..... Sasa ilipofikia kwenye kupaka mafuta sheby alikuwa akiumia sana mana zaituni bado alikuwa mtupu, Shwby alijikuta anavua nguo za chini ili asiumize zakaria yake mana ilisimama mpaka ikawa inauma kwa udogo wa eneo, hivyo kavua nguo za chini ili asiumie.. Lakini sasa kumbe hata zaituni alikuwa akizipata hisia vile alivyokuwa akipakwa mafuta na na sheby, tena sheby alikuwa akifanya makusudi pale alipokuwa akifikia maeneo ya kifua,...
"ivi we hujanitamani kweli"
Zaituni alipata wasiwasi juu ya sheby, ina maana na uzuri aliokuwa nao na shepu yake yote, kweli huyo kijana hata hatetemeki,.. Zaituni alijihisi ana mapungufu ya kimwili, hivyo ndio mana kaamua kuuliza
"kwanini nisikutamani, sema navumilia tu"
"muongo wewe"
"kweli vile"
"yuko wapi huyo jamaa hebu nimshike"
Aliongea zaitini huku akipapasa katika mwili wa sheby, ili aishike zakaria ya sheby,...
"Yeuuuuuuuwiiiiii, basi baba vaa nguo mume wangu"
Zaituni alifanikiwa kuishika zakaria ya sheby na kugundua kweli sheby alikuwa vizuri kiuwanaume... Mana alihisi ana mapungufu kumbe anamuumiza tu...
Sasa zaituni alijikuta anamuonea sheby huruma, mana nanii ilisimama sana,...
"sheby mume wangu.."
Aliita zaituni huku sheby yupo bize kupaka mafuta katika mapaja ya zai,
"sema mke wangu"
"kwanini umekula kiapo kikubwa hivyo lakini"
Aliongea zai huku akitamani kumruhusu sheby
"nilikula kiapo ili kuleta uwaminifu juu yako"
"Hapana, mimi sitaki tena.... naomba uvunje kiapo chako, siwezi kukuona unateseka kiasi hicho mume wangu... Kama ni bikra sina, sasa kwanini unilie kiapo kikubwa kiasi hicho???"
Laaaaaa Haulaaaaaa sheby haamini maneno ya zaituni yaliokuwa yakimtoka kama kuku wa kutaga vile
"lakini zaituni mke wangu... "
Sheby kabla hajamaliza kuongea zaituni alidakia juu kwa juuu
"lakini nini mume wangu??.... Mimi nilibakwa na wahuni, hivyo nilipoteza Bikira yangu, toka siku hio na sasa ni mwaka na zaidi umeisha... Kwa sasa sina Bikira tena,.. Kwanini ule kiapo choote hicho kisichokuwa na mbele wa nyuma"
"usijali zaituni... Kuwa mpole basi"
Sheby alikuwa anajifanya anakaza sana lakini ana hamu ile mbaya
"afu mkononi umeshika nini?"
Aliuliza zaituni baada ya kushika mkono wa sheby na kuukuta na nguo
"si nimeshika chupi jamani zai wangu"
"hebu weka hio chupi pembeni achana nayo,.. Kwanza umeifua wala staki kuivaa mbichi na sina nyingine"

Je? Sheby atavunja kiapo alichoapa mbele ya mama mkwe, japo bado
 
Mungu Baba muumba wa Mbingu na nchi, ktk jina la Yesu Kristo. Tunaliinua jina lako kwa utufu wako, tukisema ahsante Baba kwa kuwa tulilala kama wafu. Lakini wewe usiye lala usiku wala mchana,umetuma Malaika wako wakakesha wakitulinda dhidi ya nia ya adui ya kutuangamiza. Mtakatifu Mtakatifu Mtakatifu, Yehova Mungu wetu ndilo Jina lako. Tunasema ahsante kwa wema na fadhili zako zote, ahsante kwa ulinzi na uponyaji wako. Tunajikabidhi tena mikononi mwako siku hii ya leo, ukatuongoze kwa Roho wako Mtakatifu ktk ibada zenye kuabudu ktk Roho na kweli,Ukijidhihirisha Mwenyewe kwa ule Utukufu wa milele Bwana.
Ukaponye na kuokoa kwa Mkono wako ulio hodari.
Wafuatilie pia walio wagonjwa na wenye shida mbalimbali.
Wakiwepo wasafirio leo, basi ukawafuatilie kwa ulinzi wako.
Tunaziombea mamlaka mbalimbali za tawala kote ulimwenguni Palipo na ukatili na zuio la utukufu wako ukatume utiisho wako ili wakujue Wewe wa pekee.
Nimeomba na kushukuru haya yote ktk jina la Yesu Kristo aliye BWANA na Mwokozi wetu, Aaaamin.

NAWATAKIA JUMAPILI NJEMA MBARIKIWE
 
bb2f5dcbec76189e6c77dc1bc66d993b.jpg
I see amazing
 
Mungu Baba muumba wa Mbingu na nchi, ktk jina la Yesu Kristo. Tunaliinua jina lako kwa utufu wako, tukisema ahsante Baba kwa kuwa tulilala kama wafu. Lakini wewe usiye lala usiku wala mchana,umetuma Malaika wako wakakesha wakitulinda dhidi ya nia ya adui ya kutuangamiza. Mtakatifu Mtakatifu Mtakatifu, Yehova Mungu wetu ndilo Jina lako. Tunasema ahsante kwa wema na fadhili zako zote, ahsante kwa ulinzi na uponyaji wako. Tunajikabidhi tena mikononi mwako siku hii ya leo, ukatuongoze kwa Roho wako Mtakatifu ktk ibada zenye kuabudu ktk Roho na kweli,Ukijidhihirisha Mwenyewe kwa ule Utukufu wa milele Bwana.
Ukaponye na kuokoa kwa Mkono wako ulio hodari.
Wafuatilie pia walio wagonjwa na wenye shida mbalimbali.
Wakiwepo wasafirio leo, basi ukawafuatilie kwa ulinzi wako.
Tunaziombea mamlaka mbalimbali za tawala kote ulimwenguni Palipo na ukatili na zuio la utukufu wako ukatume utiisho wako ili wakujue Wewe wa pekee.
Nimeomba na kushukuru haya yote ktk jina la Yesu Kristo aliye BWANA na Mwokozi wetu, Aaaamin.

NAWATAKIA JUMAPILI NJEMA MBARIKIWE
Amen, Asante kwa neno mama mchungaji

Nawe pia jumapili njema na Mungu akubariki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom