Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
1591 - Uchaguzi wa Papa Innocent IX
Mungu Baba muumba wa Mbingu na nchi, ktk jina la Yesu Kristo. Tunaliinua jina lako kwa utufu wako, tukisema ahsante Baba kwa kuwa tulilala kama wafu. Lakini wewe usiye lala usiku wala mchana,umetuma Malaika wako wakakesha wakitulinda dhidi ya nia ya adui ya kutuangamiza. Mtakatifu Mtakatifu Mtakatifu, Yehova Mungu wetu ndilo Jina lako. Tunasema ahsante kwa wema na fadhili zako zote, ahsante kwa ulinzi na uponyaji wako. Tunajikabidhi tena mikononi mwako siku hii ya leo, ukatuongoze kwa Roho wako Mtakatifu ktk ibada zenye kuabudu ktk Roho na kweli,Ukijidhihirisha Mwenyewe kwa ule Utukufu wa milele Bwana.


Ubarikiwe sana Shululu jumapili njemaView attachment 619658Asubuhi njema makapuku wote

I see amazing

Safii sana
Amen, Asante kwa neno mama mchungajiMungu Baba muumba wa Mbingu na nchi, ktk jina la Yesu Kristo. Tunaliinua jina lako kwa utufu wako, tukisema ahsante Baba kwa kuwa tulilala kama wafu. Lakini wewe usiye lala usiku wala mchana,umetuma Malaika wako wakakesha wakitulinda dhidi ya nia ya adui ya kutuangamiza. Mtakatifu Mtakatifu Mtakatifu, Yehova Mungu wetu ndilo Jina lako. Tunasema ahsante kwa wema na fadhili zako zote, ahsante kwa ulinzi na uponyaji wako. Tunajikabidhi tena mikononi mwako siku hii ya leo, ukatuongoze kwa Roho wako Mtakatifu ktk ibada zenye kuabudu ktk Roho na kweli,Ukijidhihirisha Mwenyewe kwa ule Utukufu wa milele Bwana.
Ukaponye na kuokoa kwa Mkono wako ulio hodari.
Wafuatilie pia walio wagonjwa na wenye shida mbalimbali.
Wakiwepo wasafirio leo, basi ukawafuatilie kwa ulinzi wako.
Tunaziombea mamlaka mbalimbali za tawala kote ulimwenguni Palipo na ukatili na zuio la utukufu wako ukatume utiisho wako ili wakujue Wewe wa pekee.
Nimeomba na kushukuru haya yote ktk jina la Yesu Kristo aliye BWANA na Mwokozi wetu, Aaaamin.
NAWATAKIA JUMAPILI NJEMA MBARIKIWE![]()