Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Alikumbuka maneno ya rafiki yake rose yakisema kuwa
"mary rafiki yangu,.. Najua jambo hili ni gumu sana kwako,.. Lakini vumilia tu tupate kazi rafiki yangu, natamani nikusaidie lakini siwezi mana tutaonekana sisi ni malaya,.. Akitaka mkubalie tu ili tupate kazi"
"rose,.. Lakini si unajua mi sipendi tabia hio... Kwanini usiwe wewe"
"nina sababu mbili za kutofanya hili... Kwanza, kaniambia nije kesho, kana kwamba kuna uwezekano wa kupata kazi au kukosa... Afu pili.. Mi najua we ni mzuri kuliko mimi, na una umbo la kumchanganya mwanaume yeyote yule kuliko mimi... Sipendi tuachane mary,.. Mpe tufanye kazi, tuachane na maisha ya kuigiza mtaani"
Mary Alipomaliza kukumbuka, alishangaa kuona chupi yake ipo nusu.. Ilionekana hata sheby hakuwa akitania tena kama alivyotaka kufanya utani juu yake,
Mary alikuwa anatetemeka mana anakumbuka amewahi kufanya mapenzi mara moja tu wakati wa kutolewa bikra yake, na ni muda mrefu umepita mpaka sasa, hivyo bado ule uoga wa mwanzo mwanzo anao..
Sheby aliendeleza kuivua ile chupi mpaka magotini kabisa, kisha akaipandisha sketi ya mary,.. Wakati huo mary kafumba macho wala hataki kuona kitu anachotaka kufanyiwa na kijana huyo,.. Sheby alimsogelea na kumng'ata shingoni mwake (Love Bite) Kitendo kilichomsisimua mary mapaka kufumbua macho yakiwa yamelegea kisa love bite aliong'atwa na sheby,.. Kijana huyo alimwangalia sana mary mpaka mary akashusha macho chini kwa aibu, wakati huo chupi imeshafika chini ya miguu, yaani kazi ya mary hapo ni kunyanyua miguu nguo ivuke kabisaa mana alikuwa kasimama ukutani,.. Lakini Ghafla sheby akainama chini na kuishika ile nguo,.. Sasa kumbe mary nae tayari keshaanza kulegea kua alikuwa tayari kwa kufanya mapenzi na kijana huyo, na sababu ya kukubali ni lile kiss la meno lilimsisimua na kumueka katika nafasi ya matamanio ya kimapenzi,.. Mary alikuwa anataka kunyanyua mguu ili chupi itoke, lakini alishangaa mguu umezuiwa, kisha hapo hapo sheby akaipandisha ile chupi na kumvalisha vizuri.. Huezi amini sheby kamuacha mary nyakati za mwisho, tena hata muhusika mwenyewe alikuwa tayari kwa tendo hilo,.. Ila sheby kamvalisha mtoto wa watu nguo yake...
"vp tena boss"
Aliuliza mary huku akishu pumzi nzito kwa kuachwa mana kilichomsukuma mpaka kujikuta anakubali ni lile kiss la meno (love bute) ndio lililomchanganya mary,..
"nimegundua unapenda kazi, na hupo tayari kwa jambo hili bali ni kazi ndio imekufosi kufanya hivyo, na hata kuja hapa sikuja kwa lengo hilo bali nilikuwa nataka kujua kama kweli upo tayari kuutoa mwili wako kwasababu ya kazi"
"Ahsante boss.. Kweli sikua tayari ila ningelikubali tu kwasababu ya kazi"
"ok mimi sitaki tena... Ngoja nimuite rafiki yako aje nijue cha kufanya"
Ndio hapo sheby akapiga simu kwa Secretary kisha akamuagiza amina amwambie rose aje ofisini kwake.. Na hapo ndio mwisho wa mwendelezo wa sehemu ya tatu, ambayo tulifichwa tukio liliofuata
"mary rafiki yangu,.. Najua jambo hili ni gumu sana kwako,.. Lakini vumilia tu tupate kazi rafiki yangu, natamani nikusaidie lakini siwezi mana tutaonekana sisi ni malaya,.. Akitaka mkubalie tu ili tupate kazi"
"rose,.. Lakini si unajua mi sipendi tabia hio... Kwanini usiwe wewe"
"nina sababu mbili za kutofanya hili... Kwanza, kaniambia nije kesho, kana kwamba kuna uwezekano wa kupata kazi au kukosa... Afu pili.. Mi najua we ni mzuri kuliko mimi, na una umbo la kumchanganya mwanaume yeyote yule kuliko mimi... Sipendi tuachane mary,.. Mpe tufanye kazi, tuachane na maisha ya kuigiza mtaani"
Mary Alipomaliza kukumbuka, alishangaa kuona chupi yake ipo nusu.. Ilionekana hata sheby hakuwa akitania tena kama alivyotaka kufanya utani juu yake,
Mary alikuwa anatetemeka mana anakumbuka amewahi kufanya mapenzi mara moja tu wakati wa kutolewa bikra yake, na ni muda mrefu umepita mpaka sasa, hivyo bado ule uoga wa mwanzo mwanzo anao..
Sheby aliendeleza kuivua ile chupi mpaka magotini kabisa, kisha akaipandisha sketi ya mary,.. Wakati huo mary kafumba macho wala hataki kuona kitu anachotaka kufanyiwa na kijana huyo,.. Sheby alimsogelea na kumng'ata shingoni mwake (Love Bite) Kitendo kilichomsisimua mary mapaka kufumbua macho yakiwa yamelegea kisa love bite aliong'atwa na sheby,.. Kijana huyo alimwangalia sana mary mpaka mary akashusha macho chini kwa aibu, wakati huo chupi imeshafika chini ya miguu, yaani kazi ya mary hapo ni kunyanyua miguu nguo ivuke kabisaa mana alikuwa kasimama ukutani,.. Lakini Ghafla sheby akainama chini na kuishika ile nguo,.. Sasa kumbe mary nae tayari keshaanza kulegea kua alikuwa tayari kwa kufanya mapenzi na kijana huyo, na sababu ya kukubali ni lile kiss la meno lilimsisimua na kumueka katika nafasi ya matamanio ya kimapenzi,.. Mary alikuwa anataka kunyanyua mguu ili chupi itoke, lakini alishangaa mguu umezuiwa, kisha hapo hapo sheby akaipandisha ile chupi na kumvalisha vizuri.. Huezi amini sheby kamuacha mary nyakati za mwisho, tena hata muhusika mwenyewe alikuwa tayari kwa tendo hilo,.. Ila sheby kamvalisha mtoto wa watu nguo yake...
"vp tena boss"
Aliuliza mary huku akishu pumzi nzito kwa kuachwa mana kilichomsukuma mpaka kujikuta anakubali ni lile kiss la meno (love bute) ndio lililomchanganya mary,..
"nimegundua unapenda kazi, na hupo tayari kwa jambo hili bali ni kazi ndio imekufosi kufanya hivyo, na hata kuja hapa sikuja kwa lengo hilo bali nilikuwa nataka kujua kama kweli upo tayari kuutoa mwili wako kwasababu ya kazi"
"Ahsante boss.. Kweli sikua tayari ila ningelikubali tu kwasababu ya kazi"
"ok mimi sitaki tena... Ngoja nimuite rafiki yako aje nijue cha kufanya"
Ndio hapo sheby akapiga simu kwa Secretary kisha akamuagiza amina amwambie rose aje ofisini kwake.. Na hapo ndio mwisho wa mwendelezo wa sehemu ya tatu, ambayo tulifichwa tukio liliofuata
