Makapuku Forum

Makapuku Forum

Alikumbuka maneno ya rafiki yake rose yakisema kuwa
"mary rafiki yangu,.. Najua jambo hili ni gumu sana kwako,.. Lakini vumilia tu tupate kazi rafiki yangu, natamani nikusaidie lakini siwezi mana tutaonekana sisi ni malaya,.. Akitaka mkubalie tu ili tupate kazi"
"rose,.. Lakini si unajua mi sipendi tabia hio... Kwanini usiwe wewe"
"nina sababu mbili za kutofanya hili... Kwanza, kaniambia nije kesho, kana kwamba kuna uwezekano wa kupata kazi au kukosa... Afu pili.. Mi najua we ni mzuri kuliko mimi, na una umbo la kumchanganya mwanaume yeyote yule kuliko mimi... Sipendi tuachane mary,.. Mpe tufanye kazi, tuachane na maisha ya kuigiza mtaani"
Mary Alipomaliza kukumbuka, alishangaa kuona chupi yake ipo nusu.. Ilionekana hata sheby hakuwa akitania tena kama alivyotaka kufanya utani juu yake,

Mary alikuwa anatetemeka mana anakumbuka amewahi kufanya mapenzi mara moja tu wakati wa kutolewa bikra yake, na ni muda mrefu umepita mpaka sasa, hivyo bado ule uoga wa mwanzo mwanzo anao..
Sheby aliendeleza kuivua ile chupi mpaka magotini kabisa, kisha akaipandisha sketi ya mary,.. Wakati huo mary kafumba macho wala hataki kuona kitu anachotaka kufanyiwa na kijana huyo,.. Sheby alimsogelea na kumng'ata shingoni mwake (Love Bite) Kitendo kilichomsisimua mary mapaka kufumbua macho yakiwa yamelegea kisa love bite aliong'atwa na sheby,.. Kijana huyo alimwangalia sana mary mpaka mary akashusha macho chini kwa aibu, wakati huo chupi imeshafika chini ya miguu, yaani kazi ya mary hapo ni kunyanyua miguu nguo ivuke kabisaa mana alikuwa kasimama ukutani,.. Lakini Ghafla sheby akainama chini na kuishika ile nguo,.. Sasa kumbe mary nae tayari keshaanza kulegea kua alikuwa tayari kwa kufanya mapenzi na kijana huyo, na sababu ya kukubali ni lile kiss la meno lilimsisimua na kumueka katika nafasi ya matamanio ya kimapenzi,.. Mary alikuwa anataka kunyanyua mguu ili chupi itoke, lakini alishangaa mguu umezuiwa, kisha hapo hapo sheby akaipandisha ile chupi na kumvalisha vizuri.. Huezi amini sheby kamuacha mary nyakati za mwisho, tena hata muhusika mwenyewe alikuwa tayari kwa tendo hilo,.. Ila sheby kamvalisha mtoto wa watu nguo yake...
"vp tena boss"
Aliuliza mary huku akishu pumzi nzito kwa kuachwa mana kilichomsukuma mpaka kujikuta anakubali ni lile kiss la meno (love bute) ndio lililomchanganya mary,..
"nimegundua unapenda kazi, na hupo tayari kwa jambo hili bali ni kazi ndio imekufosi kufanya hivyo, na hata kuja hapa sikuja kwa lengo hilo bali nilikuwa nataka kujua kama kweli upo tayari kuutoa mwili wako kwasababu ya kazi"
"Ahsante boss.. Kweli sikua tayari ila ningelikubali tu kwasababu ya kazi"
"ok mimi sitaki tena... Ngoja nimuite rafiki yako aje nijue cha kufanya"
Ndio hapo sheby akapiga simu kwa Secretary kisha akamuagiza amina amwambie rose aje ofisini kwake.. Na hapo ndio mwisho wa mwendelezo wa sehemu ya tatu, ambayo tulifichwa tukio liliofuata
 
Kumbukumbu imeishia hapo sasa tuendeleee....
"hhhmmmm mary wewe.. Hivi hajakuona papuch yako kweli"
Aliuliza rose huku bado wanakula..
"hhhmmm rose weweee, ataacha kuiona kweli... Mi najua aliiona pale alivyoinama, mana mi nilikuwa nimeshikilia sketi kwa juu afu nae kainama, hivyo hapo ndio nahisi kaniona, mana ni kuigusa papuch yangu kaigusa kabisaa"
"hhhhmmm ila Ahsante mary, umejitahidi sana"
"nimejitahidi??... Na wakati nimshukuru yeye kwa kughairisha mpango"
"heeeeee kwaio hata wewe ulikuwa unataka"
"mwanzo sikuwa nataka.. Lakini kuna Live Bite moja alining'ata shingoni, hio ndio iliniamsha kila kilicholala,.. Hapo hapo mwili wangu ukawa tayari kwa kufanya mapenzi, hivyo hata vile alivyositisha nilichukia sema sikutaka ajue tu"
"mmhhh na uzuri wako huo kweli kakuacha... Siamini mary, wewe umefanywa sema unanificha tu"
"kweli rose, hata nikuonyeshe we si unajua mwanamke aliofanya muda uliopita, haya ngoja nikuonyeshe ili uamini"
"achana na hayo mambo bwana, tule tukalale zetu, utantamanisha bure"
"iiiiiiii afu rose... Hatujamwambia mwana kuwa tumepata kazi"
"achana nae kwanza"
Aliongea rose huku wakiendelea kula,
Katika chumba chao hicho walikuwa wakiishi wao wawili tu....

Sasa tuje huku kwa wazazi wake na sheby wakiwa wamejawa na wasiwasi juu ya mtoto wao kuchelewa nyumbani mana muda huo yapata kama saa mbili za usiku na kazini kutoka ni saa 11 za jioni, sasa mpaka saa hio hawamuoni mtoto wao
"huyu mtoto wako mi nakuambia ana wanawake huyu wewe husikii ona mpaka saa hizi yupo wapi"
Baba yake yake sheby alianza kuwa mkali baada ya kutomwona sheby nyumbani,..
"huezi jua mtoto kapatwa na nini huko"
"unaona sasa unavyomtetea, ndio maana anazidi kuwa bogazi yule, kumbe wewe ndio chanzo"
Mama alikuwa anatamani kumtetea mtoto wake lakini baba hawezekani kabisa kushaurika,
"sio chanzo mume wangu,.. Kumbuka mtoto wetu keshakuwa sasa.. Kwanini umlinde, basi mwambie aoe ili ikutoke akili ya kuchelewa kwake kwasababu ya wanawake"
Mama aliongea hivyo kwa hasira baada ya kuona mtoto wake anabebeshwa mzigo ambao hahusiki nao
"Enheeee hilo nalo neno... Ili atulie inabidi aoe,... Safi sana"
"yaani baba sheby kweli unakubali yule mtoto aoe na umri ule"
"shida yangu atulie... Staki pesa zangu ziishie kwa wanawake wengi"
"heeeeee baba sheby jamani... Mtoto wetu bado ni mdogo sana eti"
"itawezekana tuuu... Tena kuna yule mtoto wa rafiki yangu anamfaa sana"
"rafiki yako yupi huyo"
 
Mohamedy ana mtoto wake mzuri tu"
Aliongea mzee rashidi huku akiangalia tv,..
"wee baba sheby, yule Mohamedy si ana mtoto mmoja tu wa kike afu ni mkubwa yule"
"Enheeee, huyo huyo, anamfaa sana mtoto wetu"
"Ati nini.... Yaani unataka kumchagulia mke???... Haiwezekani baba sheby, patachimbika hapa... Mtoto wangu hawezi kuoa mtu mzima kiasi kile, haiwezekani labda niwe nimekufa"


Itaendelea
 
Mohamedy ana mtoto wake mzuri tu"
Aliongea mzee rashidi huku akiangalia tv,..
"wee baba sheby, yule Mohamedy si ana mtoto mmoja tu wa kike afu ni mkubwa yule"
"Enheeee, huyo huyo, anamfaa sana mtoto wetu"
"Ati nini.... Yaani unataka kumchagulia mke???... Haiwezekani baba sheby, patachimbika hapa... Mtoto wangu hawezi kuoa mtu mzima kiasi kile, haiwezekani labda niwe nimekufa"


Itaendelea
Asantee naona mambo ya vyupi vyupii tu
 
Mohamedy ana mtoto wake mzuri tu"
Aliongea mzee rashidi huku akiangalia tv,..
"wee baba sheby, yule Mohamedy si ana mtoto mmoja tu wa kike afu ni mkubwa yule"
"Enheeee, huyo huyo, anamfaa sana mtoto wetu"
"Ati nini.... Yaani unataka kumchagulia mke???... Haiwezekani baba sheby, patachimbika hapa... Mtoto wangu hawezi kuoa mtu mzima kiasi kile, haiwezekani labda niwe nimekufa"


Itaendelea
Awww thnx luv, tuendelee basi maana nzuriii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom