Makapuku Forum

Makapuku Forum

Laaaaaa Haulaaaaa maskini sheby wa watu ndio huyo anakubali kuvuliwa suruali, tena sheby mwenyewe wakati huo ana moto wa kula tunda hilo... Kila akiona chupi ilivyoishia magotini ndio anazidi kupata joto la mapenzi...

ENDELEA........



Kufanana kwingine kuzuri sana lakini ni kubaya sana katika mapenzi, zainabu anajua fika huyu ni mwanaume aliekuja na mdogo wake ambae ni pacha wake, lakini kwa wivu wa mapenzi anajikuta anamtaka mwanaume huyo,.. Na kijana huyo bila ya kujua alijikuta nae anamtamani kimapenzi... Sasa wakati huo chupi ya zainabu imeishia magotini huku kijana sheby joto likizidi kumpanda haswaa, aliishika ile nguo na kuimalizia kuivua, kisha akapandisha ile sketi tayari kwa kula tunda lq zainabu ila hajui kama ni zainabu,... Lakini sasa kumbuka kulikuwa na kiza hivyo walioongia kwenye gari kiza kilizidi kuwepo, mana gari ilikuwa ni tinted hivyo hata uwashe taa bado mtu wa nje hawezi kuona ndani ispokuwa kioo cha mbele peke yake, na aliopo mbele ya gari pia hawezi kuona kwasababu wao wapo siti ya nyuma wakiwa wamezuiwa na siti ya mbele... Sasa mtoto wa watu kila akiitafutia papuch ya zai ili aanze gemu, zai anasema sio hapo.. Kana kwamba zai kuna kona zake alikuwa anataka.. Mana shebt yeye alikuwa anataka kutumia njia ya kawaida lakini zai anakataa na kusema sio huko.. Sheby kwa hasira tu alijikuta anawasha taa ya hapo ndani,.. Sasa hapo ndio akamuona vizuri mwadada huyo, kitu cha kwanza macho ya sheby yalitua kwenye papuch ya zai,.. Kisha akamuangalia usoni..... Laaaaa Haulaaa kumbe hakuwa zaituni bali alikuwa ni zainabu, sheby ndio anajua sasa hivi kuwa huyo hakuwa zaituni aliomtegemea, bali ni zainabu... Na hata zainabu alipomuona sheby alimkumbuka vizuri tu... Walishawahi kukutana supamaketi, lakini zainabu alimletea nyodo kaka huyo,... Zainabu kuona hivyo alishikwa na aibu, papuch yake imeshaonekana afu kumjua keshamjua...
 
Mzee wa msimamo kaanza misimamo yake,.. Kama ulishawahi kusoma Love Story yangu iitwayo SECONDARY SCHOOL basi utaujua vyema msimamo wa sheby,...
"haya vaa uende"
Yaani mtoto wa kike jinsi alivyosimamia kucha lakini huezi amini kama sheby angeweza kumwambia kuwa avae aende zake
Na zainabu hana la kusema mana keshamkumbuka na alishamleteaga nyodo kule supamaketi kisa kaulizwa mbona kama kafananishwa na kipofu, badala aseme ni ndugu yangu, kajibu maneno mabovu kwa sheby,.. Hivyo hata hapo sheby kafanya kisudi kumwambia avae ili ajue kweli kuna wanaume wenye misimamo yao...
Zainabu kashusha sketi tu na kushika chupi yake mkononi kisha huyoo kaondoka zake... Sheby nae kaingia ndani akamkuta zaituni mwenyewe akiwa kaketi kwenye kochi,..
"sasa mama naomba tuongee"
Aliongea sheby kumaanisha alimtaka mama zai watoke pembeni kidogo wapate kuongea,
"sawa baba"
Mama alikuwa akijibu kwa heshima ya hali ya juu mno,...
Basi mama zai na kijana huyo walitoka pembeni kisha wakaanza kuongea jambo fulani

Tukija huku kwa akina mary na rose wakiwa nyumbani kwao rose alikuwa anaandaa chakula lakini mary alikuwa katika mawazo mazito sana
"we mary chakula tayari"
Rose Aliongea peke yake bila kujibiwa
"mary?... We mary?... Mary, mary... We meriiiiiiii"
"nini jamani rose, umenishtua eti"
"una mawazo gani shost, kama ni kazi tumeshapata sasa mawazo ya nini wakati kama huu"
"alionipa kazi ananiumiza kichwa sana rose"
"nani.. Yule boss"
 
"alionipa kazi ananiumiza kichwa sana rose"
"nani.. Yule boss"
"we acha tu, yaani sijui hata ni mwanaume wa dizaini gani yule"
Mary alikuwa akimsifia sana kijana sheby kana kwamba kwa kitendo alichokifanya sheby ni kitendo ambacho wanaume wengi wasingeweza kukifanya...
"Enheeee afu umenikumbusha.. Ivi saa ile pale nilipokuacha nae, alikuduu au"
"ndio hicho kitu kinachoniumiza kichwa rose"
"kivipi sasa... Amejaaliwa mkongomani au"
"bora ingelikuwa hivyo"
"au ni kibamia"
"bora ingelikuwa hivyo"
"we mjinga kweli, sasa ni nini kama sio hivyo"
Rose alikuwa ana hamu ya kujua kilichojiri kwa rafiki yake mary, mana hata yeye hakuwa na uhakika wa kupata kazi, bali aliitwa tu na kupewa kazi baada ya mary kubaki na boss wakiwa wawili tu
"rose, ivi ni mwanaume gani anaweza kukuvua chupi afu akakuacha"
"kwa sasa hivi hakuna... Na hata huyo hawezi kua hivyo"
Aliongea rose huku wakiendelea kula
"sikia sasa... Hivi Unajua ilikuwaje saa ile uliponiacha nae"
"najulia wapi sasa"
"saa ile ilikuwa hivi"
Sasa mary anatumalizia kile kipande pale tulipoishia sehemu ya tatu... Ilikuwa iendeleee hivi..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom