Olevel
Ilikuwa weww unaepakuwa chakula ndio unabaki na Dish la kuosha.
Sasa hapo obvious lazima ubaki na msosi wa maaana
Ila madish watu waliyopenda ni dish la:
1. Wali
2. Maharage
3. Nyama
4. Pilau
Dish la kande na ugali halikuwa na wapiganiaji wala.