Hahaa... Duh! Kumbe uke wenza unakupa pumu.. pole wee
Na kibaya zaid blessed hope mwenyewe biblia ipo kwenye moyo, kamwagiwa damu ya yesu halogeki haingiliki, vidawa vyako vya ng'ende huko vinadunda tu shabash
Na unalo hilo, mie na blessedhope ni washikaji zaid.. so ukewenza mpaka ubaki viskeleton..