Na mm nimekushindwa binamuKwa kweli hawa anko zangu wamenishinda.
Kwani hamkumwambia mjomba aje na kuku wa kienyeji? Anko aliniambia na sasa mimi nimempata mmoja yeye kawapata wawili mmoja wako mwingine hajaamua ampeleke kwa teller au tolu
Basi hapo maka mbichwa huooo...Mockingbird ni ngoma nzuri, jina hili kalitoa kwenye kitabu kinaitwa hivyo. Kizuri sana.
Nitafanya hivyo mdau maana wewe ndo mopao, umedhamini magazeti na utadhamini muziki
.....ukijazika upepo kama puto anko wangu anapita na kisindano rungu chake, mara paap kifuatacho aitivii
Tubarikiwe sote Shimba Mungu wetu ni mwema tumuite ANAITIKA ...
Asante Mtumishi Mwema. Huwa unanibariki sana
Asante kwa kutujuzaJe wajua samaki aina ya Papa huhisi kudondoka katika Bahari tone la damu akiwa umbali wa kilomita 4
So chukua hatua kama uko katika Bahari na Bahari hiyo ina Papa
Papa ni mmoja wa samaki hatari mno baharini
😱😀😀😀😀
....hiyo barua iambatane na cheti cha kuhitimu mafunzo ya karate na judo na mbio za marathon
U ar right.....first thing first, ulimaanisha inspired, right.
Kitu cha pili kabla ya cha kwanza, don't let the "inspiration" raise your sentiments, she is taken. FYI
.....first thing first, ulimaanisha inspired, right.
Kitu cha pili kabla ya cha kwanza, don't let the "inspiration" raise your sentiments, she is taken. FYI
na ulivyo furahi mwenyewe
Na ubahili wake woteanatoaga mbona
hahaha duuh ni mpare nn??
Mimi napenda sana na ninakufurahia maana hakuna mwingine anayependwa na anko wangu kushinda wewe. Anko wangu kama kocha Julio Alberto Perreira Kihwelo, yeye atazunguuka weeeeee ila mwisho wa siku Simba ndo timu yake. Nje anaendaga kusambaza ufundi
Kwani hamkumwambia mjomba aje na kuku wa kienyeji? Anko aliniambia na sasa mimi nimempata mmoja yeye kawapata wawili mmoja wako mwingine hajaamua ampeleke kwa teller au tolu
Mamaa Wenger mwenyeweJamani mpo wapendwa wangu