.....first thing first, ulimaanisha inspired, right.
Kitu cha pili kabla ya cha kwanza, don't let the "inspiration" raise your sentiments, she is taken. FYI
Mimi napenda sana na ninakufurahia maana hakuna mwingine anayependwa na anko wangu kushinda wewe. Anko wangu kama kocha Julio Alberto Perreira Kihwelo, yeye atazunguuka weeeeee ila mwisho wa siku Simba ndo timu yake. Nje anaendaga kusambaza ufundi
Kwani hamkumwambia mjomba aje na kuku wa kienyeji? Anko aliniambia na sasa mimi nimempata mmoja yeye kawapata wawili mmoja wako mwingine hajaamua ampeleke kwa teller au tolu
Mimi napenda sana na ninakufurahia maana hakuna mwingine anayependwa na anko wangu kushinda wewe. Anko wangu kama kocha Julio Alberto Perreira Kihwelo, yeye atazunguuka weeeeee ila mwisho wa siku Simba ndo timu yake. Nje anaendaga kusambaza ufundi