makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,905
- 104,172
Mie sibishi wala sikupingi.......anaongea lugha nne English, Russian, Japanese, and Swahili (Mae Jemison: The First African American Woman in Space and First Real Astronaut on Star Trek) nimeweka link ili anko wangu asijenibishia maana kwenye Kiswahili najua wengi mtamuunga mkono anko kunibishia
PhD kaipata na miaka 25 tu wakati mimi na miaka yangu inayoniruhusu kutogombea UVCCM ndo kwanza nimedahiliwa UDOM
Bandika bangoNi watu wawili tofauti lee empire hayupo
Thats my shunie..Weeee binamuuu shindwaa we na anko wako sihitaji hg kazi zangu nazimudu kama mmetafuta kisingizio cha kuleta mke wa pili kwangu haiingia mwanamke wa kumisaidia kazi tena mpe salaam anko wako
Mwisho leo wenye kufikilia ni lee acha waendelee na mawazo yao makaBandika bango
Poa, mambo shunie..maka mambo
maka buanaThats my shunie..
Malkia wa nguvu
poa maka za wewe miss uPoa, mambo shunie..
maka buanaunapendaga kunijazaaa halaf hujui tu ujue ukinijaza najazika kweli
Ndio weka bango kubwa getin..Sitaki hausigeli maka wa ninii mimi
Lyon leeoooohhhhMakaveliiiiooooooooh .....
Hahaa.. we ndio mzur shunie, ndio maana twaiva..maka buanaunapendaga kunijazaaa halaf hujui tu ujue ukinijaza najazika kweli
Ooooooh enekwaaaaa ngwaaaaaaaa makaveliiiiiooooooh igeduuuuuuuuLyon leeoooohhhh
Miss u zaid shunie..poa maka za wewe miss u
Nilishamwambia nashangaa kukutana na hizi mambo kwa binamu yakeNdio weka bango kubwa getin..
Umwambie baba d aelewe
Ojouelegba, ngwaaa wahala lyon leeooohh infumwe..Ooooooh enekwaaaaa ngwaaaaaaaa makaveliiiiiooooooh igeduuuuuuuu
Hahaa.. we ndio mzur shunie, ndio maana twaiva..
Labda habar ulizompa baba d hajampasia mdogo wake kama kabadili mawazo..Nilishamwambia nashangaa kukutana na hizi mambo kwa binamu yake