Tarehe 17 Oktoba ni siku ya 290 ya mwaka (ya 291 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 75.
Na wewe pia Mkuu shululu.View attachment 610992Asubuhi njema makapuku wote
1404 - Uchaguzi wa Papa Innocent VII
Ubarikiwe sana,sisi ni maua tunategeneana,maua yapo mekundu,meupe,meusi,blue,njano,kijani,zambarau,pinki..yakikaa pamoja hupendeza..ndio maana Mungu katuweka pamoja..tunapendana,tunakubaliana,tunavumiliana,tunashikamana,tunaungana mkono,tutatiana moyo,tunafarijiana,tunagombana,tunapatana,tunasameheana na tunasonga mbele pamoja..Mungu atusaidie sana tuendelee kuwa hai na afya njema...Love you all kapuku's you are wonderful made
2007 - John Njue, Askofu Mkuu wa Nairobi anateuliwa kuwakadinali
1946 - Graca Machel, mke wa Samora Machel halafu wa Nelson Mandela alizaliwa
1956 - Mae Jemison, mwanaanga kutoka Marekani alizaliwa
1983 - Raymond Aaron, mwanafalsafa wa Ufaransa alifariki
Na hapo ndio mwisho kwa Leo ,
By husobe love
1972 - Eminem, mwanamuziki kutoka Marekani alizaliwa
1972 - Wyclef Jean, mwanamuziki kutoka Marekani alizaliwa
1977 - Andre Villas Boas, kocha wa mpira wa Ureno alizaliwa
1987 - Bea Alonzo, mwigizaji wa filamu kutoka Ufilipino alizaliwa