Mfyuuuuuuuuu zako na harudi humu...hawakumkosea, yeye ndo aliwakosea! Alitangaza kumuoa demi, sasa wananzengo wakakasirika wakaamua kumsomea albadiri, inakuwaje ampe pressure aunty yangu
Halaf miandiko ni tofautiiii yaan wa baba d bila kuuliza unajua tu huyu ni Lee empire kivuruge
...mimi na wewe anko ni mambo ya ukoo, ukitoka wewe naandamana Jumapili naenda kwa mwadhama Pengo namwambia awasute wanaotaka katiba mpya, no wanaotaka kukufananisha na anko mkubwa.
Nikitoka hapo naenda kwa Sheick Ponda bin Issa tufanye press conference
Kwendraaaaa...sawa sawa kabisa, halafu bora anko wangu mkubwa katoka maana alikuwa anaharibia sana mambo yangu. sasa hivi niko huru. Ila huyu anko mdogo dadaake ambaye ni mama yangu ashamshindwa tabia anaitwa King Mswati
Asante binamu ila ujue unapenda kuniuziMuziki: Ijumaa ya Kufurahi
U khali gani mdau mwenzangu wa Jukwaa hili tunalolipenda KF, ninakusalimia nikiwa na furaha sana leo. Furaha yangu haijaja kama ajali sio kama mjomba wangu ambaye yeye jana alifurahia simu kuisha chaji. Anajitafutia sababu ya kujitekesha na apate kisingizio cha kujitetea kwa aunty yangu. Nitamshauri shangazi kumnunulia power bank.
Mnajua wote Ijumaa sio siku ya kuleta mambo magumu magumu maana kuna vichwa vya treni vinauzwa na mwenyewe hajulikani sasa itabidi tujipange tuvinunue tukishamaliza kulipwa hela za makinikia. Wale wote mnaosubiri Noah msahau, tushahamisha magoli, tunanunua vichwa vya treni. Yaani tulivinunua na re-nunua tena. Unashangaa, hii ndo furahiday
Muziki sasa, mambo ya bakulutu leo huku naangusha mojamoja na wewe kama sio mlipa kodi jiagizie Azam painapo. Nwa kwa hisani ya mpendwa wangu tunaburudika hapa
Asante binamu ila ujue unapenda kuniuzi
...sawa sawa kabisa, halafu bora anko wangu mkubwa katoka maana alikuwa anaharibia sana mambo yangu. sasa hivi niko huru. Ila huyu anko mdogo dadaake ambaye ni mama yangu ashamshindwa tabia anaitwa King Mswati
Hb kaenda wapi lakiniHapana sio baba d hayupo jf yaan Lee ameshatoka kabisa muwe na Amani
NaniHb kaenda wapi lakini
Natabasamu vipiii binamu kila saa unaniuzi tuu...nakupenda aunty yangu. Usiifanye Ijumaa kuwa ngumu, hebu tabasamu hata kwa kulamba sukari
Jaman mdogo akee baba d mbona hiviii I'd ya baba d imeunganishwa na hii imekuwa moja baba d ameshatoka mpaka akasema I'd yake iunganishwe na mdogo akee hii kitu naifunga nisiulizwe tena
Povu hlo veeepUjue wananichosha na hizi mambo yaan tena leo iwe mwisho mtu kuniuliza kuwa we ni baba d au vipiiii
Sio povu ndio ukweli watu hamuelewi kila siku ni hivyo tuuuu msinichoshe tusichoshane baba d ametoka jf kwani mnamdaiiiiPovu hlo veeep
...nakupenda aunty yangu. Usiifanye Ijumaa kuwa ngumu, hebu tabasamu hata kwa kulamba sukari
Kuna mtu asiyejua uhandishi wa baba d me wananichosha tena leo mwisho wasiniulize tena akili zangu nazijua mwenyewe jaman
...eti wewe ni baba D?
Alisikika member mmoja akitaka kujua kama anko hayupo humu ili aende inbo kwa aunty yangu