Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Maneno kuntu mama d ....ndo maana jana umechekelea meno yote njeee nilichofanyiwa









kakuweza
Maneno kuntu mama d ....ndo maana jana umechekelea meno yote njeee nilichofanyiwa









kakuwezaNakuja mama wawili wanguNmekumiss pia jamani npo mlangoni siingii ndani mpaka ufike![]()
![]()
Mi niko poa sana dada wangu.Nipo poa sana za wewe
Hapana shemela jaman acha me niendelee kuwa msomaji kwanzaNipe muda kidogo shemela, ila na wewe upo forex?


Nafurahi kusikia hivyo shedyMi niko poa sana dada wangu.
Vizur sana dada wa mie.Nafurahi kusikia hivyo shedy
Hapana sio baba d hayupo jf yaan Lee ameshatoka kabisa muwe na AmaniMwandiko wa baba D unaujua
Baadaye kidogo
Na huyo lyon lee ni naniHapana sio baba d hayupo jf yaan Lee ameshatoka kabisa muwe na Amani

Jaman mdogo akee baba d mbona hiviii I'd ya baba d imeunganishwa na hii imekuwa moja baba d ameshatoka mpaka akasema I'd yake iunganishwe na mdogo akee hii kitu naifunga nisiulizwe tenaNa huyo lyon lee ni nani![]()
![]()
![]()
Hapana sio baba d hayupo jf yaan Lee ameshatoka kabisa muwe na Amani

Nyie watu wasumbufu mpaka rahaNa huyo lyon lee ni nani![]()
![]()
![]()
Ujue wananichosha na hizi mambo yaan tena leo iwe mwisho mtu kuniuliza kuwa we ni baba d au vipiiii
ChangamotoJaman mdogo akee baba d mbona hiviii I'd ya baba d imeunganishwa na hii imekuwa moja baba d ameshatoka mpaka akasema I'd yake iunganishwe na mdogo akee hii kitu naifunga nisiulizwe tena
Bhasi mm ni baba d roho zao zitulieUjue wananichosha na hizi mambo yaan tena leo iwe mwisho mtu kuniuliza kuwa we ni baba d au vipiiii
Me sijui ujue hivi udanganywe ili iweje yaan ndio mana baba d alikua anawaita wanafki wa jukwaa hiliChangamoto
Wanataka nini lakini?
Kuna mtu asiyejua uhandishi wa baba d me wananichosha tena leo mwisho wasiniulize tena akili zangu nazijua mwenyewe jamanBhasi mm ni baba d roho zao zitulie
Au ndo wale bro alikua anasema unaweza piga makofi ukiwa nao