Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,926
Nimejaribu kuzoom inn kwa huyo mpitaji yumo japo havumi
Hawez kuwa na nyayoo kama zilee
Umemuonaaa lakiniii
MmmhhNakwambia mimi, huu ni unyayo wake, naujua vizur angekuwa kavaa viatu hapo sawa wangekuwa wakina shunie, tumosa, blessedhope na wengine.. ila huyu ni lovely mum tu.
Maana humu wasiovaa viatu ni wawili tu yrye na husna, sasa unyayo wa husna haupo hivi..![]()
![]()
Nauliza tena usinichokeee....umemuonaaa??
