Nikikublock usinichukie sababu wewe kwanza uniambie kama mimi ni bibi au?? Nimejitangaza kwamba mimi kibibi kungwa ila naingia humu kuwacheck ila kama na wewe ni babu basi uniambie na uorodheshe idadi n ya wajukuu na vitukuu ili tushindane. Ikiwezekana wachore na picha zao namaanisha kuchoraaa sitaki kuwa shahidi ukishtakiwa kwenye kesi ya mitandao,.