Naskiaga kwa jiranj, siunajua uswaz chumba hakina ceiling board chief, na maskio haya kiwambo cha kuzuia sauti...
Hapana wakati nasikiaga unavyokitumiaa ndo kinakuwaga imara full bin kuimarikaWanantisha eti wananiambia husikii ile methali ya chovya chovya humaliza buyu la asali.. eti nikichovya sana itapukutika na kubak kama kakidole..
Bila shaka jirani yangu kaifunza vizuri tuu, sasa hiv niko mass nondo, sijawahi chovya ila najua a to z kama mfumo wa alfabeti.chief uko byeee wanasemaga watu ya kongoo ...ila wanasema usipofunzwa na wako utafunzwa na wanaokuzunguka
Kadilio la chini au la juuNaupa 1.5 out of 10.
Hapa ndio huwa nabaki dilema kama nelly na mwenzie kelly.. sijui niwaskilize wahenga sijui niwafate wanabaiolojia..Hapana wakati nasikiaga unavyokitumiaa ndo kinakuwaga imara full bin kuimarika
Sasa chief inakupasa kwanza ufanyie kwanza practical mama atakusameheBila shaka jirani yangu kaifunza vizuri tuu, sasa hiv niko mass nondo, sijawahi chovya ila najua a to z kama mfumo wa alfabeti.
Ebhu uliza ata kwa majiranii tuone wanasemaje make na mm kama weweHapa ndio huwa nabaki dilema kama nelly na mwenzie kelly.. sijui niwaskilize wahenga sijui niwafate wanabaiolojia..
Kabla ya kuoa lazma nipige prac 3... Huwez kufanya kazi bila interviewSasa chief inakupasa kwanza ufanyie kwanza practical mama atakusamehe
Ila najkuliza km bailojia iko kweli, basi wnaofanya sana zingekuwa zinaburula chini..Ebhu uliza ata kwa majiranii tuone wanasemaje make na mm kama wewe
Sasa apo chief kule kwetu kule tunasema Totemo yoi ....とても良いKabla ya kuoa lazma nipige prac 3... Huwez kufanya kazi bila interview
Ila najkuliza km bailojia iko kweli, basi wnaofanya sana zingekuwa zinaburula chini..na dada zetu jee..
Kwetu tunasema..لسبفشةيوخحنسةلكرذوظثSasa apo chief kule kwetu kule tunasema Totemo yoi ....とても良い
Nimependa hiyo na mm lazima nifate unachokisema
Boraujue apo unazidi kuniweka njia panda ya segerea ....
Kwa wakina dada sawa kuna advancement amaizing wanakapitia
Si tunaongea chief au kesi unanisukumizia mimiBora
Nisije onekana mchochez bure
Hapana chief, siwez fanya hvyo.. we ndio mchiz wanguSi tunaongea chief au kesi unanisukumizia mimi
شكرKwetu tunasema..لسبفشةيوخحنسةلكرذوظث
Ayo ndo maneno kwa hiyo hitimisho linakuwajeHapana chief, siwez fanya hvyo.. we ndio mchiz wangu
Conclusion ni hivi.. ukisoma vizuri phyisics, expansion of material.. costant "K" inaexpand..inakuwa kubwa yaaniAyo ndo maneno kwa hiyo hitimisho linakuwaje