makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,930
- 104,254
Maka tangazo lako nalielewa ujue subiria pm huko kwa wanaopita kimya kimya kapukuYupo hapa kalala hoi.. kasema poo!!
Namsubiri alfajiri alfajir.. nikandamize vi3 vya mkwezi.. kimoja bafuni, kimoja kwa kiti na lastly kwa bed..![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Maka tangazo lako nalielewa ujue subiria pm huko kwa wanaopita kimya kimya kapuku
Hhmm.. sina maana hyo..
![]()
Hhmm.. sina maana hyo..
![]()
![]()
Waambie wanikome, washindwe na walegee.. na pm ntaifungilia kwa mbali, tuko kimasihala zaidi.























Si kwa cheko hili mwenzangu..
hivi mbona umefanana na binamu obe vituko vyenu halaf msikute nyie watu ni mababu hizi I'd fake na avatar zinaficha mengi sana
Live nakwambia, kama ningekuwa mtoto wa kike na mzaramo kama husna nasubri kuchezwa ngoma..![]()
![]()
Kumbe ni rafki wa mjomba wako, mie nikajua ni fafki yKo.. age mate wako...mmmmmh, mimi ni babu kweli kweli na ujue nini siku hizi matibabu kwa wababu bure, yule mbabu aliyekufa shinyanga akisaka Viagra ni rafiki wa mjomba wangu
Nawanywea gongo kabisa ili nisiwasumbue wakat wanapata riziki yao..![]()
Kesho nampango wa kula mchicha ili msosi wao waupate kwa wingi..![]()
![]()
Yupo hapa kalala hoi.. kasema poo!!
Namsubiri alfajiri alfajir.. nikandamize vi3 vya mkwezi.. kimoja bafuni, kimoja kwa kiti na lastly kwa bed..![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ningesola migulu nikabana.........au ungekuwa ushabakwa na Shaban Madobe
..ni agemate wangu, sibishi ila ile kupigwa pampu muulize anko wanguKumbe ni rafki wa mjomba wako, mie nikajua ni fafki yKo.. age mate wako
Nijaribu mara ngapi,nmeamka saa hii nakuta wananishanga, nmejikuta nawashanga wao kwa kunishangaa mimi.....Mimi kuna siku nimewalalia uchi wakabaki kushangaa wakawa wanaitana kutahamaki kushakucha. Jaribu utanitag
Kaz yenyewe udalali, utapeli, ofisi simu yangu na mdomo.....unapiga vitatu? Huna kazi mjini?

Nijaribu mara ngapi,nmeamka saa hii nakuta wananishanga, nmejikuta nawashanga wao kwa kunishangaa mimi..
Kaz yenyewe udalali, utapeli, ofisi simu yangu na mdomo.![]()
![]()
Anko ake ukiamka uje kutoa ushuhuda huku..ni agemate wangu, sibishi ila ile kupigwa pampu muulize anko wangu
Nimewakuta wote wananikodolea mijicho..Ha ahahhahahaha, ukute watamuita mheshimiwa mbu aje ashuhudie.