Makapuku Forum

1889 - Kilele cha Kilimanjaro kimefikiwa mara ya kwanza

...hapa ni lazima tuweke tofauti maana kuna kilele cha Kilimanjaro na kunakukifikia kilele, sasa sijalewa nitaenda na maana ya kihistoria

Ni hiki hapa chini ...



na sio kilele kwa maana ya orgasm maana Ijumaa hii huwezi kujua mtu kaianza saa ngapi

 
1862 - Albert Beveridge, mwanasiasa na mwandishi kutokaMarekani
Alizaliwa


...akiwa senata hakupenda 'majimbo' ya New Mexico na Arizona yatwaliwe na USA kwa kuwa tu hayakuwa na 'weupe'wengi. Haya yalijaa Walatino na 'wenyeji' ambao kwake aliwaona kutokuwa na akili timamu za kujua maana ya kujitawala. Hata hivyo hakufanikiwa

 
mpendwa banaa

Yaani watu walikuwa wanapanda mlima but wanaishia njiani hawafiki mwisho
So Leo ndio MTU alifika kileleni kwenye mlima huu kwa Mara ya kwanza
 
Aminaa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…