Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ni kweli na biashara ili ufanikiwe ni kutoka nje ya mji ambako huduma zinawafikia kwa kusuasua na hapo ndo utatusua mapene ya uhakika mpaka wanashtuka waje wengine unakuwa usha songa hatua na umejiimalisha
Naam...!! Ila hilo wengi hawaja linguandua cpatain nakutakia kila lakheri ktk mipango yako Mungu akuongoze
 
Naam...!! Ila hilo wengi hawaja linguandua cpatain nakutakia kila lakheri ktk mipango yako Mungu akuongoze
Ameni naamini mungu ni mwema kwetu sote


Nilifanya utafiti wangu wa kibiashara niligundua mambo mengi sana maana mjini ili uweze kuuza lazima uwe na mtaji mkubwa na uwe na bei ya chini kuliko wenzio

Ukiwa na mtaji wa kawaida utapata hela sio unayo itaka

Lakin ukitoka nje ya mji utatengeneza pesa nyingi kwa mtaji kidogo

Unacho paswa kufanya ni uaminifu katika biashara zako na hii ndo itakuwa nguzo ya biashara yako
 
Ameni naamini mungu ni mwema kwetu sote


Nilifanya utafiti wangu wa kibiashara niligundua mambo mengi sana maana mjini ili uweze kuuza lazima uwe na mtaji mkubwa na uwe na bei ya chini kuliko wenzio

Ukiwa na mtaji wa kawaida utapata hela sio unayo itaka

Lakin ukitoka nje ya mji utatengeneza pesa nyingi kwa mtaji kidogo

Unacho paswa kufanya ni uaminifu katika biashara zako na hii ndo itakuwa nguzo ya biashara yako
Ok, so umelenga kutoka nje ya mji ktk hiyo biashara yako unayo tarajia kuanza
 
Muziki: Filimbi

Siku kama mbili sijakusalimia katika kipengele hiki ninachokipenda sana, muziki. Kukosa salamu yangu ya maandishi haimaanishi kuwa sikusalimiii kimoyomoyo, yaani kiheart heart, kopa hazijumlishwi hapa wala emojiz. Well, sasa sina namna inabidi nikusalimie maana bila kukusalimia wewe mtu, yes, Kapuku mheshimika, KF inakuwa haina maana yoyote kwa yeyote. Mmmmh, kuna tofauti na yeyote na yoyote yaani ni sawa na kipyenga na filimbim mluzi na msonyo.

Nina imani Jtatu ilikuwa nzuri na kama umeianza j3 kwa uzuri basi hakika wiki nzima itakuwa nzuri kabisa na hata kama umeianza kwa kufikiria yanayokukwaza, usijari, kuwa jasiri maana kesho jua litawaka tena. Asante Mndali ndanyelakakomu kwa kusogoza leo na ufanikiwe katika biashara zako unazozipanga ndani na nje ya ulipo.

Muziki sasa, leo nimekumbuka tu kipindi miziki ya Salsa (charanga) ilipoanza kuchezwa hapa nyumbani, ilikuwa enzi za redio One na alikuwepo mzee wa macharanga, ilivutia sana kiukweli. Baadaye unakutana na mzee wa kipusa, ha hahaha sio hiki kipusa kinachoimbwa na King the great Kiba. Burudika na muziki sasa

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom