mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,920
Yaani wewe ni wale wanaomini kwamba mjukuu ni spare tyre..... Ha ha ha ha ha ha.... Mimi nafuata maadili bwana.Sawa ila naona unatumia kale kamsemo kanako sema uzee dawa. Maana hamchelewi kuwambia wajukuu zenu bibi yako hayupo njoo ulale huku naogopa peke yangu
Natania tu
Nzuri tu beby boyHabar yako
Mkuu hilo jina beby boy ni la watoto tuheshimiane kidogo mi mhengaNzuri tu beby boy
Yaani siwezi kuwakula wajukuu zangu.... Halafu hawa wajukuu hawako single... Mimi kazi yangu kuwashauri jinsi ya kuimarisha ndoa zao.Maadili kama yapi ?
Basi mzee hewa tuishie hapo ila ndo tabia zenuYaani wewe ni wale wanaomini kwamba mjukuu ni spare tyre..... Ha ha ha ha ha ha.... Mimi nafuata maadili bwana.
Wee mzee bibi yao yuko wapi? Na kwanini wa kike tu huna wajukuu wa kiume?Yaani siwezi kuwakula wajukuu zangu.... Halafu hawa wajukuu hawako single... Mimi kazi yangu kuwashauri jinsi ya kuimarisha ndoa zao.
Mambo hayo ni ya mababu fake na wajukuu fake..... Na hao Magu kashawatumbua.Basi mzee hewa tuishie hapo ila ndo tabia zenu
Ndio mungu alioniruzuku... Sasa wewe unataka kuingilia mambo ya Mungu?Wee mzee bibi yao yuko wapi? Na kwanini wa kike tu huna wajukuu wa kiume?
Ameacha kutumbua saizi anawamwagia upupu wawe wanawashwawashwaMambo hayo ni ya mababu fake na wajukuu fake..... Na hao Magu kashawatumbua.
Atanyimenye anga achimenye ngali asekile
Po ndaga bhabhomba mbombo twi bhakwishamba tukujakata nutwe
Hao tunaheshimiana...wananipenda... Wananianika asubuhi... Wananibandikia maji ya moto
Sawa ila naona unatumia kale kamsemo kanako sema uzee dawa. Maana hamchelewi kuwambia wajukuu zenu bibi yako hayupo njoo ulale huku naogopa peke yangu
Natania tu
Bibi yao yupo.... Ila sisi watu wa pwani hatufanyi intro ya wake zetu... Manake nyie vijana mkijua tu yule mke wa fulani basi wanawake wote hawafai tena anafaa yule mke wa Mtu.... Tunachukua tahadhari.Ha ha ha ha ha ha.Ndio mungu alioniruzuku... Sasa wewe unataka kuingilia mambo ya Mungu?
YapyapMakapuku
Yaani wewe unawaambia wajukuu zangu wanawashwawashwa... Ngoja wajeAmeacha kutumbua saizi anawamwagia upupu wawe wanawashwawashwa
Mkuu hilo jina beby boy ni la watoto tuheshimiane kidogo mi mhenga
Nzuri tu beby boy