Makapuku Forum

Makapuku Forum

Katika watu wanonifaham vyema wee mmoja wapo shunie, sina hata haja ya kuongea mpaka mshipa wa shingo utoke..

Sitak mambo ya bongo movie..[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bongo za humu si mchezo ndio mana hutaki shida mnatamanishana tu jukwaani acha tu me baba d wangu tuendelee kuchunguliana na kulana aisee bongo movie tuwaachie wenyewe na usanii wao raha ya kuitana babe, bae, my love, mkulane buana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

We ni mchokodhi wewe..[emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bongo za humu si mchezo ndio mana hutaki shida mnatamanishana tu jukwaani acha tu me baba d wangu tuendelee kuchunguliana na kulana aisee bongo movie tuwaachie wenyewe na usanii wao raha ya kuitana babe, bae, my love, mkulane buana
Aheri hata nirud utotoni nikacheze kibaba baba na kimama mama!!
 
Ila raha mukunjane kweli.. sio mahaba mnayamaliza kwa maneno, wakati mahaba mwenzake vitendo.

Kwichi kwichi.. [emoji85] [emoji85]
Wooooooooozaaaaaaaa habari ndio hiyo maka ujue mkunjane haswaaaa woiiiii bongo movie kwangu na kwa baba d ilikua mwanzoni mwezi mmoja tu ule tumetaniana mara paaaap kitu na box live long kapuku kwa kuniletea baba d kwangu jamaan
 
Jaman kwahiyo maka bae wako ni geisha au

...kuna zile Geisha bonge bonge, na pia siku wanagtengeneza vipotabo Geisha mkononi vinajaa

images
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bongo za humu si mchezo ndio mana hutaki shida mnatamanishana tu jukwaani acha tu me baba d wangu tuendelee kuchunguliana na kulana aisee bongo movie tuwaachie wenyewe na usanii wao raha ya kuitana babe, bae, my love, mkulane buana


...leo kuna Futuhi, hivi Futuhi nayo ni bongo movie?
 
Back
Top Bottom