makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,930
- 104,252
Maka wenzio wanalilia magoma we hata hata kuwasikia hutakina mapenzi yao ya bongo movie ya jukwaaani kulana hawalani
We ni mchokodhi wewe..

Maka wenzio wanalilia magoma we hata hata kuwasikia hutakina mapenzi yao ya bongo movie ya jukwaaani kulana hawalani

Katika watu wanonifaham vyema wee mmoja wapo shunie, sina hata haja ya kuongea mpaka mshipa wa shingo utoke..
Sitak mambo ya bongo movie..![]()
![]()
![]()







bongo za humu si mchezo ndio mana hutaki shida mnatamanishana tu jukwaani acha tu me baba d wangu tuendelee kuchunguliana na kulana aisee bongo movie tuwaachie wenyewe na usanii wao raha ya kuitana babe, bae, my love, mkulane buana
![]()
![]()
![]()
![]()
We ni mchokodhi wewe..![]()
![]()
![]()
Aheri hata nirud utotoni nikacheze kibaba baba na kimama mama!!bongo za humu si mchezo ndio mana hutaki shida mnatamanishana tu jukwaani acha tu me baba d wangu tuendelee kuchunguliana na kulana aisee bongo movie tuwaachie wenyewe na usanii wao raha ya kuitana babe, bae, my love, mkulane buana
Mara 100 hiyo makaAheri hata nirud utotoni nikacheze kibaba baba na kimama mama!!




eti my love hata pm kwake hujui papo hivi au hujui anafananaje hata jina lake hujui zaidi ya kujua la jf la I'd fakeBora nikae kimya wasijekusema nawaattack bureMara 100 hiyo makaeti my love hata pm kwake hujui papo hivi au hujui anafananaje hata jina lake hujui zaidi ya kujua la jf la I'd fake

Bora nikae kimya wasijekusema nawaattack bure![]()
![]()
Hayo ni maisha yangu mim n msimamo..![]()
![]()







lakini hatujamsema mtu ujue si tumeongea tuEehh.. sisi tunajisemea tuu..lakini hatujamsema mtu ujue si tumeongea tu

Ndiwoooo si tunajisemea tu wenyewe me na maka tuEehh.. sisi tunajisemea tuu..![]()
![]()







Ila raha mukunjane kweli.. sio mahaba mnayamaliza kwa maneno, wakati mahaba mwenzake vitendo.Ndiwoooo si tunajisemea tu wenyewe me na maka tu![]()

Wooooooooozaaaaaaaa habari ndio hiyo maka ujue mkunjane haswaaaa woiiiii bongo movie kwangu na kwa baba d ilikua mwanzoni mwezi mmoja tu ule tumetaniana mara paaaap kitu na box live long kapuku kwa kuniletea baba d kwangu jamaanIla raha mukunjane kweli.. sio mahaba mnayamaliza kwa maneno, wakati mahaba mwenzake vitendo.
Kwichi kwichi..![]()
![]()
Hahaaa.. nawaombea mfike mbali mnoo.Wooooooooozaaaaaaaa habari ndio hiyo maka ujue mkunjane haswaaaa woiiiii bongo movie kwangu na kwa baba d ilikua mwanzoni mwezi mmoja tu ule tumetaniana mara paaaap kitu na box live long kapuku kwa kuniletea baba d kwangu jamaan
Hahaaa.. nawaombea mfike mbali mnoo.
Ameen maka jamaan nakuombea na wewe ujue ukuje upate mkunjane kiukweli ukweli sio bongo movie buanaHata mie nafurah kuskia uko poa.Me mzima sana maka nafurahi kusikia upo poa jaman
Hahaa.. itakuwa kazi kidogo, sijiskii kuwa katika mahusiano kwa sasa, labda atokee mtu wa kunishawishi kweli kweli, ila bila hvyo hapana...![]()
Ameen maka jamaan nakuombea na wewe ujue ukuje upate mkunjane kiukweli ukweli sio bongo movie buana
Jaman kwahiyo maka bae wako ni geisha auHahaa.. itakuwa kazi kidogo, sijiskii kuwa katika mahusiano kwa sasa, labda atokee mtu wa kunishawishi kweli kweli, ila bila hvyo hapana...
Lakin amen kwa dua yako mpendwa.
Jaman kwahiyo maka bae wako ni geisha au
bongo za humu si mchezo ndio mana hutaki shida mnatamanishana tu jukwaani acha tu me baba d wangu tuendelee kuchunguliana na kulana aisee bongo movie tuwaachie wenyewe na usanii wao raha ya kuitana babe, bae, my love, mkulane buana
Kwahiyo binamu atakua anatumia geisha ipiii eti halaf binamu shikamoo jaman...kuna zile Geisha bonge bonge, na pia siku wanagtengeneza vipotabo Geisha mkononi vinajaa
![]()
Jaman kwahiyo maka bae wako ni geisha au
maisha yangu ni ambiguity kidogo shunie mtu kama hanijui atapata tabu kunielewa..