...tuzo hii katika Tia aliipata mwaka 1904 na anakumbukwa hadi leo kwa kuangalia ushawishi wa mazingira na tabia tulizonazo katika kujifunza. Alimtumia zaidi mbwa kwenye tafiti zake na moja ya matokeo makubwa yanayokubalika hadi leo ni kuwa mazingira humfanya mtu afanikiwe au asifanikiwe.
na kwa wanafunzi au watumishi, ukimpongeza na kumfanya ajione anaweza basi mafanikio hayaepukiki