makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,983
- 104,468
Habar zamida.. hope wote mchana wenu ulikuwa poa.. nawapendeni nyote.
Hongeraa na weweHongera..
Wamefanana na mapacha wangu mie.
Ni njemaHabar zamida.. hope wote mchana wenu ulikuwa poa.. nawapendeni nyote.
tunakupenda piaHabar zamida.. hope wote mchana wenu ulikuwa poa.. nawapendeni nyote.
Kusudi tuHujui au kusud ndugu yangu..
Tuko poa shemela umeshindajeHabar zamida.. hope wote mchana wenu ulikuwa poa.. nawapendeni nyote.
Hongera..
Wamefanana na mapacha wangu mie.
AhsanteHongeraa na wewe
Ahsante chimamii..tunakupenda pia
Nashukuru kwa upendo wenu.Ni njema
Unapendwa pia
Salama tu shemela.Tuko poa shemela umeshindaje
Muziki: HekaHeka za Pretender
Uko na khali gani Kapuku mheshimika, unajua kabisa huwa sichoki kusema kuwa wewe ni mtu muhimu sana hapa jukwaani na bila uwepo wako wewe, yeaj, wewe hapo unayenisoma muda huu. KF bila wewe labda ingeitwa jina jingine lakini kwa kuwepo kwako hapa KF imekuwa ni brand hapa JF na sio bland. Heh, tafuta uone tofauti ya brand na bland ndo utajua KF tuko juu.
Basi bhana, nilitimba ugenini hapa Lindi na nilienda kwa washua kweli kweli, msosi kila mtu sahani yake, sio ishu maana hata nilikotoka ndo tunafanyaga hivyo, basi watu hata Bismillah hatujamaliza mara vijiko na uma vinapitishwa, mimi first day nikaiga wanachofanya , wallah tena sikushiba jioni nikaziba masikio, kitu wali ndondo kijiko cha nini. Na nikaomba na mahaba kabisa wakasema wamepikia gesi wali haukubanikwa hivyo no mahaba. Itanendelea...
Muziki sasa, heka heka za pretenda zinaweza kukuumbua siku moja na ukajikuta kama huyu ninayemheshimu ambaye wote mnajua ni kaka wa mama yangu. Fumanizi limemkuta ikabidi nimtetee na mimi nikapretend maana haya ni mambo ya ukoo
Hicho unachovuta sio poa.....kuna tofauti ya mapacha na mapaja
Chimamii ndo nini?Ahsante chimamii..
Kipenzi...Chimamii ndo nini?
Watu wamepikia rice cooker.. mahaba hamna.
Amen Asante ubarikiwe sanaAsante mama mchungaji.
Malaika wa Mungu wabariki kuingia na kutoka kwako.
Zaidi wakuangazie mwanga katika njia upitazo.
Ameen .![]()

Amina nipo namtukuza Mungu wetu anayetutunza kila iitwapo leoNipo mama mchungaji..
Nafurahia uwepo wako tuu.
