Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kwahiyo ndomana unanibania?? Yani katika post zangu 10 kuna like zako 4 tu kwani shida ni nini jamani?? Hebu tembeza likes heshima irudi pastor
Dada angu ni nauwezo wa kukupa like ngap kwa post..Fanya mambo na Mod nikupe like kuanzia sasa mpaka 12... youngblood alituwakilisha vyema ila yapendeza top 10 zote zitokee huku manta...
 
Nasikia ngoma nae ana kadi 3 za njano na game iliopita alicheza
d37999343c06a080453f9b0146973107.jpg

Tumechoka umbea wenu
Muwe mnakuja na habari kamili sio "nasikia"
Km kaeli wachukue point zao lkn bingwa ni Yanga tu sababu Azam keshajifia
...................
 
Dada angu ni nauwezo wa kukupa like ngap kwa post..Fanya mambo na Mod nikupe like kuanzia sasa mpaka 12... youngblood alituwakilisha vyema ila yapendeza top 10 zote zitokee huku manta...
We nipe tu kadri inavyowezekana and i will appreciate kwasasa karibia ile safu wakongwe watakuwa out maana tunaendelea kuwapangua mmoja mmoja, pamoja na figisu figisu za hapa na pale ila sio haba tunaongoza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom