Makapuku Forum

Makapuku Forum

...japokuwa aunt yangu anajisema kuwa na moyo wa paka lakini kwa hili nimeguswa sana ikabidi nimtakie usiku mwema.

Kama kuna mdau anajua kuandika talaka vizuri, mwandiko mzuri ajitokeze tunaweza kumsaidia aunt yangu, nimeumia sana.

Hivi yule mdigo yupo?
Yataisha tuu mkuu.

Mimi nawaombea tuu wayamalize , tena wayamalize wenyewe.

Time heals..!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom