Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Weeee mauwa nimemwekea mama anayapenda sana mauwa ya mama atakuja kusoma ujue we bado mgeni humuMxiuuuu na wewe embu acha kuweka maua maua hapa kama rachel dangwa
Weeee mauwa nimemwekea mama anayapenda sana mauwa ya mama atakuja kusoma ujue we bado mgeni humuMxiuuuu na wewe embu acha kuweka maua maua hapa kama rachel dangwa
Mdau za jumapili....unanitafuta nini lakini wewe aunty yangu!
Wiki mbili sasa nimetoa taarifa niko Lindi? Narudia tena niko Lindi
Familia iko vizuri vipi upande wakoWasalimie sana, familia haijambo hapo
Huo ndio ukweli mke mwee mama yupo mtwara kwa binamu yaan mama anavyonitumia mapicha huko jaman binamu obe![]()
Basi kama hautakiiiiWambea utawajua tu
sina moyo wa zari mieHuwezi jua ujue anaweza kujituliza kwako
Safiii kaka akee karibuuuDadakee
Habar ya weekend
Mie sio mkristo![]()
![]()
![]()
mimi pia ujue leo jumapili au sio mkristo wewe
Anasema hayuko single, au hujaelewa shemelaNa yeye yupo single mmekutana Mungu mkubwa
Basi mama kanitumia picha zenu hivi kwa umevaa vile au sababu ya mama jamaanMmmmmh! Mimi huwa sipigi picha nafanya kazi kikosi cha mizinga sasa wanaonidai wote si watanijua wakatae kunipa assist.
Niko Lindi




tunamshukuru mungu hatujambo kabisaNzuri kabisa shem, za familia nawe
Asante weekend unatembelea viwanja vipiSafiii kaka akee karibuuu
Salama kabisa shemejiFamilia iko vizuri vipi upande wako
Mmmh kama vile siamini aminNdio hao watoto wao wa insta wakina jj kila siku tunaletewa picha mpya
Ndio mana nisamehe mwayaMie sio mkristo
Kwani shikamoo inatatizo gani
Kuna mtu anaitwa tetra ni shemela wetu hamjawahi kukutana ukimuona msalimie vizuri akili yako naijua wewe
ni baba mchungaji