BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Amina Ubarikiweme mzima kabisa mpnz
AwwwMarahaba my baby girl za uzima ?umepika?mmekula?na mwwnangu amesifia chakula..ubarikiwe mwnangu uwe mke mwema..kama Mungu apendavyoLove you
Wooooyoooooooo binamu ukujeInakuja
Ewaaaaaaa kuwe na mipaka ukiongea na shemeji yako ujuesawa mama d
USIFE BWANA KHAAA
UbarikiweWasalaam
WoyooooooooooooooooUSIFE BWANA KHAAA
HujamboWoyoooooooooooooooomama aside binamu baba yangu eenh
Asante mama mchuchuUbarikiwe
Karibu sanaAsante mama mchuchu
Nakupenda sana...Bwana Yesu akutunze mpenziAwwwnimepika mama tumekula na mkweo amesifia sana nakumbuka somo lako la juzi mama la mwanamke vyomboNakupenda Mama yangu Yesu azidi kukutunza tu
Nakupenda sana...Bwana Yesu akutunze mpenzi
Binamu asante sana ila sijapenda tabia yako
Asante kwa maombi ya usiku, yameniongoza kutoka kufanya yangu maana sala zimelinda nyumba yanguImeandikwa Bwana asipoulinda mji wakeshao wakesha bure, ni Maombi yangu usiku wa Leo Bwana Yesu awalinde wana wa Mungu, Malaika wafanye vituo katika machweo ya Nyumba zenu, Jeshi la mbinguni liwazunguke usiku kucha mkawe wa shindi katika mambo yote, Damu ya Yesu inene mema kwa familia zenu, watoto, wajukuu ,wasaidiziwenu, kazi zenu, biashara na kila mlifanyalo likabarikiwe, Nimeomba nakuamini ktk Jina LA Yesu
Ameni
USIKU MWEMA MBARIKIWE TAIFA LA MUNGU NAWAPENDA MJUE
Binamu asante sana ila sijapenda tabia yako
Kasoro mie tu..Husna muba akuje akujibu unajua humu kila mtu na mtue
LabdaOooh
Hamna shida, naona alipotea labda aliaga halafu sikuwepo