Makapuku Forum

 
BH, ngoja nimeze mate kwanza baada ya kukuita jina lako, natafuta maneno matamu ya kukwambia kuwa sijambo sana na kukuuliza u Khali gani wewe jumamosi hii..

Hapa najiandaa kwenda kwa maveterani wenzangu
Nafuahi sana kusikia u mzima ..naomba Mungu aendelee kukutunza mpaka siku tutakayoonana..Mungu akubariki karibu....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…