...kwa wapenzi wa Jazz, na hasa wanaofuatilia wapiga gitaa zito (bass) basi huyu jamaa (AKA) alikuwa anajua sana kuliburuza gitaa hili. FYI, keshachaguliwa mara tatu katika tuzo za Grammy. Bahati mbaya alikuwa na tatizo la 'vurugu'kwenye akili yake na akajiingiza mkenge kwa jamaa mwenye 'black belt' ya karate, alipigwa na ikapelekea kifo chake..
Asante Husna kwa kunikumbusha gitaa. si unajua segment yangu ilihusu gitaa kabla sijabadilisha gia angani 😀