Ndimkafu kalumbu utwa ukoDadake ulimkafu?
Niko poa kabisa my swi,Salama baba angu umeshindaje
Kuno tununu utwaapo uli ujongite utakubhonekaNdimkafu kalumbu utwa uko
Kama yuko uyole basi ajitahidi kwa kesho aje huku tukuyu chuo cha magereza nitakuwepo kuangalia baadhi ya vivutio vya asili kama vile daraja la mungu kijungu na ndanyela
ndo upo uko eeeeh,mbona utampoteza mgeniTuko poaaaHumu ndani mko poa?
Siwezi kumpoteza nitaenda kumsubiri Kkk ili ndo nimlete huku ili tukimaliza kutembelea nimpeleke ikuti akale mananasi baada ya hapo ndo tuanze safari ya kuelekea milima kwetu![]()
![]()
ndo upo uko eeeeh,mbona utampoteza mgeni
Jambo JemaTuko poaaa
Safii kaka akee za weweHabar zenu humu ndani
Njema kabisa za kuhakikisha mkono unaenda kinywani ?Safii kaka akee za wewe
Naendelea vizuri sana mke mwee wakina jj wanaendeleaje jamaanNaendlea vizuri mke mweee unaendleaje na kichwa
Nimeuliza tu mimi mke mwee ujue
Tuko poa karibuuuuHumu ndani mko poa?
Safi sanaNjema kabisa za kuhakikisha mkono unaenda kinywani ?
Mungu unihifadhi mimi kwa maana nakukimbilia wewe
MIMI NAWAPENDA TUUU ILA NAMPENDA ZAIDI BABA D WA KWANGU MIMI KIBOKO KABISA LEE WA SHUNIE 



