Makapuku Forum

Ushaanza kisebengoo


....hivi anko unajua Tumosa ndo ni namba moja kwenye ile list yako. Ulipokuwa umeenda kwa yule kibonge muuza kongolo alisema maneno ashakum nashindwa hata kuyaandika. Eti ni kweli umemuongezea mtaji afu umempeleka englishi kozi sababu eti maneno ya kiswahili hayakufurahishi mnapofanya yenu.

Mimi nikashangaa tu, nitasema nini tena kwa mjomba wangu
 
Hv binamu umewahi kupigwa kweli
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…