Nawe pia Madame sHumu!
Good night y'all
Nikikuona tu shemela wangu jamanKwa nini shemela unanicheka tena
Shemela naomba niwekee nyimbo mkeo si ameniombea kwako uniwekee jaman au tatizo bundleNawe pia Madame s
sawa lovie tulale kesho tukutane humu jisikie kama ulivyokuwa kwa x shemela
Nyimbo ipi shemelaShemela naomba niwekee nyimbo mkeo si ameniombea kwako uniwekee jaman au tatizo bundle
umeanza tena, hilo jina litakupoza love
achana na mambo ya x shemela bana, unataka niropoke mgeni nionekane sina adabujamani ujue x shemela bwana nakumbuka tu mambo zake za kukuandikia uzi ujue mkigombana huko jf yote tujuemkipatana tujue woiiiii kujikwaa sio kuanguka ujue
Hahahaha ila kwenye mtongozo ulikuwa wa kimya kimyajamani ujue x shemela bwana nakumbuka tu mambo zake za kukuandikia uzi ujue mkigombana huko jf yote tujuemkipatana tujue woiiiii kujikwaa sio kuanguka ujue
Pusha shemela ya aslay halaf umemuona mgeni huyo anaitwa moneytalk ni shemeji yako sawa sawa shemela huyo rafiki yetuNyimbo ipi shemela
Sijaelewa vizuri huo utambulisho shemelaPusha shemela ya aslay halaf umemuona mgeni huyo anaitwa moneytalk ni shemeji yako sawa sawa shemela huyo rafiki yetu
achana na mambo ya x shemela bana, unataka niropoke mgeni nionekane sina adabu
Pata kitu hicho shemela
mgeni nakujua unatamani kunipa tusi hapo ndio hivyo tena upo na kamba mguuni
Ndio hapoHahahaha ila kwenye mtongozo ulikuwa wa kimya kimya
Shemela nawe kwa kuwaza bongo movie hujamboNdio hapoujue me nilikua naonaga akikutag moneytalk mpenzi wangu nampenda sana nikawa najiuliza hivi hizi mambo ni kweli au bongo movie za jukwaani nilivyoona tu ile siku umepanik ya interview na kuniambia bado kidogo awe shemela wangunilivyoona uzi wa msamaha na ule wa kukubaliwa msamaha nikaona gari limewaka na kuon kweli hii kitu hakuna bongo movie jaman
Ndio hapoujue me nilikua naonaga akikutag moneytalk mpenzi wangu nampenda sana nikawa najiuliza hivi hizi mambo ni kweli au bongo movie za jukwaani nilivyoona tu ile siku umepanik ya interview na kuniambia bado kidogo awe shemela wangunilivyoona uzi wa msamaha na ule wa kukubaliwa msamaha nikaona gari limewaka na kuon kweli hii kitu hakuna bongo movie jaman
Shemela hujaelewa nini tena jaman huyo mgeni ndio ameingia kapuku shemeji yako rafiki yetu me na tumosa tunaweza kumpa tetra shemela ili moneytalk asiwe mpwekeSijaelewa vizuri huo utambulisho shemela
Leo balukutu day atakuwa ashatekwa na wavaa shanga huyo
shanga 700 sijui 1500